South Africa yafuta viza kwa nchi ya Ghana, Kenya endeleeni kuvuta subira.

Ofcoz it's about your foreign relations, kwan mm naongelea nn, that affects your citizens as well. Unadhani kwann SA wanawabania visa, sababu your foreign relationship since way back, has been kenya first. Selfish man eat man society
 
I don't know, majorly because I only care about Kenya, but i do know after checking this out now, that total exports from Tanzania to America totalled $62.14 million. For Kenya, the top import categories (2-digit HS) in 2018 were: woven apparel ($240 million), knit apparel ($153 million), edible fruit & nuts (cocoa, brazil, cashew) ($74 million), special other (returns) ($55 million), and coffee, tea & spice (coffee) ($50 million)
 
Ofcoz it's about your foreign relations, kwan mm naongelea nn, that affects your citizens as well. Unadhani kwann SA wanawabania visa, sababu your foreign relationship since way back, has been kenya first. Selfish man eat man society
every country looks at its own citizens first, it just matters the approach, while you guys chose to close up your country, Kenya opened up to the world. Leading to higher expertise and transfer of knowledge. It started when Tanzania stopped using the east african shilling in 1965 in a move to close their economy, Kenya accepted and brought in a british expatriate to lead the Kenyan central bank, and we learned the tricks whereas you guys are trying to learn now.
 
Sasa how will they make their money wakitufutia visa? You know you Kenyans are serious travellers.Alafu hakuna country hulamba wasouzi matako kama tanzanians
Umepatia kama umemaanisha kuwatandika in doggy style heheheh
 
Stop your stupidity, the thread is about South Africa not to grand visa free for Kenyans while Kenya has done so for South Africans, and Kenya has been desperately bagging.
 
Hahahaha, usikimbie ukweli kwamba mliwapigia magoti na kuwabembekeza South Africa ili wafute viza kwa sababu ninyi mumewafutia viza lakini walikataa. Ni aibu kubwa na dharau kwa nchi ya kiafrika moja kufuta visa kwa matumaini kwamba na wao watafuta lakini mumekataliwa.
 
Tanzania iko SADC lakini unapata wanatandikwa huko sawa sawa Hadi wengine kufa(sadly) RIP.

Sijasikia such for Kenyans na sababu ni Hii; Kenyans are mostly in the business sector, white collar jobs and students lakini kina joto la jiwe wanazungusha pipi huko na kuchimba migodi competing directly with the holoi poloi of SA ndio maana kichapo lazima itembee.
Maskini was South Africa hajui "kukombolewa'' ni nini alafu Tena Watanzania wengi South Africa walikwenda huko kwa safari ya siku nyingi miguu wakivuka mipaka ya Zambia na Zimbabwe wakitafuta unskilled labor opportunities. Wakenya hata wanakoishi ni in splush suburbs tofauti na Watanzania walioko slums za SA .
joto la jiwe nionyeshe Wakenya ambao wamepigwa huko SA nihame JF.😉😉
 
No, jomo Kenyatta refused first, Nyerere was ready to let him be de president, but he refused Nyerere's ideas and chose the selfish way, creating inequality and tribalism through betraying his fellow Kenyans bcoz they adhered to Nyerere's ideas, which ofcoz, with support from the colonialists.
Now you may think we're waay behind you, no way my guy, wachana na hizo GDP nonsense. Our economy is growing in a stable environment, EA is feeling the heat, and we're just beginning.
 
Naomba nikukumbushe, Uzi huu unazungumzia South Africa kukataa kufuta visa kwa wakenya, wakati Kenya ilifuta visa kwa South Africa, hii ni dalili ya Kenya kujikomba kwa South Africa, au sivyo?
 
Huyu mnafiki ni mtu anayeomba kile siku kwamba mabaya yaje kwa waKenya .Its like an orgasm to this sadist Tanzanian species.
 
Lkn haibadilishi kiwa nynyi ni vibaraka kule sauzi...si heri anayefanya kazi arabuni miaka miwili au mitatu..kuliko kuwa chokoraa cape town
.
Hivi unajua wakenya wangapi wanafanya kazi za utumwa huko Qatar, Dubai na Saudia?
 
Huyu mnafiki ni mtu anayeomba kile siku kwamba mabaya yaje kwa waKenya .Its like an orgasm to this sadist Tanzanian species.
Kwani kukataliwa visa na South Africa nchi ambayo hamkutaka ipate Uhuru kwa kusaidia makaburu waendelee kuwanyanyasa na kuwatawala watu weusi, ni jambo baya?. Hamkutaka South Africa iwe huru, vipi mnataka ninyi muwe huru kuingia South Africa?
 
Lkn haibadilishi kiwa nynyi ni vibaraka kule sauzi...si heri anayefanya kazi arabuni miaka miwili au mitatu..kuliko kuwa chokoraa cape town
.
Heri kuwa kibara kwa watu weusi kuliko kuwa vibaraka wa wazungu. Mliwasaliti waafrica wenzenu, vipi Leo mnajifanya kuhimiza umoja na utengemano wa Africa?, nendeni mkajiunge na umoja wa Ulaya, huku Africa hamuhitajiki?. Wasaliti wakubwa ninyi.
 
Lkn haibadilishi kiwa nynyi ni vibaraka kule sauzi...si heri anayefanya kazi arabuni miaka miwili au mitatu..kuliko kuwa chokoraa cape town
.

wrong + wrong = right
Yet you don't have any evidence regarding to your words.
But in Arabun I can give you.
 
Hii ni mauchungu tu wako nayo dhidi ya Kenya. Kisa na maana ni kwamba their companies have tried in vain to penetrate the kenyan market. But si tunajua vile wa TZ wanavowaabudu na kuwalamba matako wasauzi?
 
Hii ni mauchungu tu wako nayo dhidi ya Kenya. Kisa na maana ni kwamba their companies have tried in vain to penetrate the kenyan market. But si tunajua vile wa TZ wanavowaabudu na kuwalamba matako wasauzi?
Bora kulamba miguu ya waafrika kuliko kulamba miguu ya wazungu na kuwasaliti waafrika ili kuwapendeszesha wazungu. Kumbe tabia ya kubaguana wenyewe kwa wenyewe inazaa hata kuwabagua waafrika wengine. Jaguar aliyoyasema yamo ndani ya wakenya wote, Yale ndio mawazo ya wakenya wengi. Hakuna nchi ya waafrika itakayo waamini ninyi wasaliti
 
Supermarkets SA kama Shoprite na Game Zina jaribu ku infitrate Kenya lakini competition in the Kenyan market is too high for them.
Ukienda other African countries utapata wao ndio dominant players kwa retail sector .Pia utapata MTN na Vodacom in almost all African countries apart from Kenya.
 
Vipi kuhusu kuwasaliti walipokua wanauliwa na kukojolewa na wazungu wakati ninyi mnashirikiana na wazungu?. Tatizo lenu ninyi hamna ubinadamu" humanity ", kila kitu mnahusisha na pesa au material gain, that's why you kill each other like wild animals.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…