joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #121
Wakenya wamefanya investments hadi Botswana na hatuko SADC.
More to come
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya wamefanya investments hadi Botswana na hatuko SADC.
kenyan in the shipping business in South Africa
Unamaanisha Trust condom ama? Mbona sioni mahali nimesema trust?Aha haaa
Where does the trust of the passport come from?
Eti hampigi kelele na kuna nyuzi humu ndani mnajigamba kwamba bakhresaa ameteka soko la SA.Bakhresaa amefungua viwanda vikubwa huko South Africa, hakuna hata mkenya mmoja anaweza fikia hiyo investment, mbona hatupigi kelele?. Ninyi wakenya zaidi ya Marathon runners mnakitu gani zaidi?.
Eti ingredients?[emoji15] Sijakuelewa, unamaanisha ingredients kama 'kafirifi' kwa umbaliii kwenye kanyama dry fry na 'mokimo' au? [emoji38][emoji38]East Afrika kuna passport moja tu which have strong secret security ingredients. Hata marekani wallenda kui study. Guess what!!?
Sisi ni visa free,njoo hapa sandton nitakupokea km huna mwenyejiTz je?
Sisi ni visa free,njoo hapa sandton nitakupokea km huna mwenyeji
Eti ingredients?[emoji15] Sijakuelewa, unamaanisha ingredients kama 'kafirifi' kwa umbaliii kwenye kanyama dry fry na 'mokimo' au? [emoji38][emoji38]
Joburg wanasema aje?Sisi ni visa free,njoo hapa sandton nitakupokea km huna mwenyeji
Akikumbuka kinyesi mnaokula pale Tz ama?Teh teh teh 😋😋😀😀
Unaweza chakula tu.
🍖🍖🍗
Hahahaha, bila Tanzania kizazi chote cha Kenya sasa hivi kingefutika kwa njaa.Akikumbuka kinyesi mnaokula pale Tz ama?
Mkatupatia msaada ama tukanunua? Alafu msaada bado naungoja, umefika wapi?Hahahaha, bila Tanzania kizazi chote cha Kenya sasa hivi kingefutika kwa njaa.
Muhimu ni kwamba Kenya inaitegemea Tanzania kwa chakula.Mkatupatia msaada ama tukanunua? Alafu msaada bado naungoja, umefika wapi?
Kwa kununua ama kwa msaada?Muhimu ni kwamba Kenya inaitegemea Tanzania kwa chakula.
Nafanya maishaWeeee unafanya nini hukoo
Poa sanaJoburg wanasema aje?
Huyo lazima ni mtu wa kupiga viatu rangiWeeee unafanya nini hukoo
Nani awafutie Visa matapeli....hahahaha
Sisi tunapaa nakushuka O'Tambo Int Airport kama naenda naenda zangu Mwanza. Ni nauli yako tu hahahahaha
Watasubiri sana
hata wewe wameshakulamba matako kibaya zaidi na dole wakakuingizaSasa how will they make their money wakitufutia visa? You know you Kenyans are serious travellers.Alafu hakuna country hulamba wasouzi matako kama tanzanians