South Africa yafuta viza kwa nchi ya Ghana, Kenya endeleeni kuvuta subira.

South Africa yafuta viza kwa nchi ya Ghana, Kenya endeleeni kuvuta subira.

Sasa kama hata hujui maana ya passport kuwa strong sasa tunajadili nini hapa na hawa mibongolala! Nkt

East Afrika kuna passport moja tu which have strong secret security ingredients. Hata marekani wallenda kui study. Guess what!!?
 
Achana nao hawa na kelele zao, wakenya wanakubaliwa kuingia bila visa kwenye nchi zaidi ya sabini duniani. Ushelisheli wanaongoza Afrika, wanakubaliwa kuingia nchi 137 visa free, ya pili Mauritius, Kenya ya sita. Sasa Tz ambao hawapo hata kwenye top 20 Afrika ndio leo wanatuambia kwamba sijui tumekataliwa S.A.
Wana umuhimu gani duniani hawa watoto wa ujamaa ndio wakubalike? Na huo uzembe yote wako nayo nini cha maana wako nayo ya kuongeza nchi wanazotembelea?
 
East Afrika kuna passport moja tu which have strong secret security ingredients. Hata marekani wallenda kui study. Guess what!!?
Kama Watanzania wote wako kama wewe basi mko na shida kubwa. When talking about a passport being strong, we do not mean security features or anything close to that as you imply above. It's a totally different thing. Mtafundishwa haya mambo rahisi hadi lini
 
😂 😂 😂 😂 😂 MK254 ukuje huku mzee

Hehehe!! Sijaelewa maana ya kuniita kwenye uzi ambao mtu ameamka kwa mawenge na kuandika bila chanzo chochote, hebu fuata hicho chanzo alichoweka hamna taarifa kama hizi. Nchi kama Kenya sio ya kufutiwa vsa, Wakenya wamewekeza sana Afrika Kusini kuzidi taifa lolote EAC, kule inafahamika nyie wengine wote ni wazamiaji.
Mod Mhariri Moderator huu uzi ufutwe unajaza server bure kwa taarifa za uwongo.
 
Wakenya wamewekeza sana Afrika Kusini kuzidi taifa lolote EAC, kule inafahamika nyie wengine wote ni wazamiaji.
i didn't call you here to insult/humiliate me brother 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
i didn't call you here to insult/humiliate me brother 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Hehehehe!! Wala sijakutusi, nimeeleza kama ilivyo, Afrika Kusini inahitaji Wakenya saana maana ni wawekezaji kule sio wazamiaji au wabeba mabox. Wageni wabeba mabox ndio walisababisha wale jamaa waanze mauaji kule, maana ajira zao zimechukuliwa.
Subiri sasa tunakwenda kuwafundisha Kiswahili, tuliingia nao kwenye mkataba.
 
Hehehe!! Sijaelewa maana ya kuniita kwenye uzi ambao mtu ameamka kwa mawenge na kuandika bila chanzo chochote, hebu fuata hicho chanzo alichoweka hamna taarifa kama hizi. Nchi kama Kenya sio ya kufutiwa vsa, Wakenya wamewekeza sana Afrika Kusini kuzidi taifa lolote EAC, kule inafahamika nyie wengine wote ni wazamiaji.
Mod Mhariri Moderator huu uzi ufutwe unajaza server bure kwa taarifa za uwongo.
Tulia usome vizuri kinachozungumziwa katika huu Uzi, acha mawenge, uwezo mdogo wa kuelewa mambo kwa upande wako sio kigezo cha kulaumu watu wengine.
 
Ninarudia tena, watanzania sio watu wanaopenda sifa kama wakenya, tatizo la wakenya ni kupiga kelele sana kuliko vitendo, ndio sababu wakati Tanzania inafanya mambo makubwa, Kenya inazidi kujikuta katika matatizo ya Madeni, njaa, rushwa na miradi kufanyika chini ya kiwango.

Hakuna mtu yeyote toka "East and Central Africa aliyewekeza pesa nyingi na miradi mikubwa South Africa kama Bakhresa, tena viwanda vya chakula na vifungashio, lakini hakuna mtanzania hata mmoja abayepiga kelele.

Wakenya wengi wameajiriwa katika Hoteli za South Africa, na baadhi ni walimu, wachache sana ambao wamejiajiri na kutengeneza ajira, lakini kelele haziishi kila siku. Baakhresa pekee ametengeneza ajiri nyingi huko South Africa, kuliko wakenya wote
 
Kama Watanzania wote wako kama wewe basi mko na shida kubwa. When talking about a passport being strong, we do not mean security features or anything close to that as you imply above. It's a totally different thing. Mtafundishwa haya mambo rahisi hadi lini

Aha haaa
Where does the trust of the passport come from?
 
Ninarudia tena, watanzania sio watu wanaopenda sifa kama wakenya, tatizo la wakenya ni kupiga kelele sana kuliko vitendo, ndio sababu wakati Tanzania inafanya mambo makubwa, Kenya inazidi kujikuta katika matatizo ya Madeni, njaa, rushwa na miradi kufanyika chini ya kiwango.
Hakuna mtu yeyote toka "East and Central Africa aliyewekeza pesa nyingi na miradi mikubwa South Africa kama Bakhresa, tena viwanda vya chakula na vifungashio, lakini hakuna mtanzania hata mmoja abayepiga kelele.
Wakenya wengi wameajiriwa katika Hoteli za South Africa, na baadhi ni walimu, wachache sana ambao wamejiajiri na kutengeneza ajira, lakini kelele haziishi kila siku. Baakhresa pekee ametengeneza ajiri nyingi huko South Africa, kuliko wakenya wote
Si ati watanzania hawapendi sifa .Sasa mtasifiwa nini?..🤣🤣🤣
Hamko kwenye michezo,ICT,literature,Sayansi, Engineering,sijui nyaja yeyote mnayojulikana duniani labda kwenye Muziki na Ushirikina tu.
 
Si ati watanzania hawapendi sifa .Sasa mtasifiwa nini?..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamko kwenye michezo,ICT,literature,Sayansi, Engineering,sijui nyaja yeyote mnayojulikana Duniani labda kwenye Muziki na Ushirikina tu.
Bakhresaa amefungua viwanda vikubwa huko South Africa, hakuna hata mkenya mmoja anaweza fikia hiyo investment, mbona hatupigi kelele?. Ninyi wakenya zaidi ya Marathon runners mnakitu gani zaidi?.
 
Bakhresaa amefungua viwanda vikubwa huko South Africa, hakuna hata mkenya mmoja anaweza fikia hiyo investment, mbona hatupigi kelele?. Ninyi wakenya zaidi ya Marathon runners mnakitu gani zaidi?.
Sijui unasema nini wewe .ila najua ni wivu inakusumbua
Naweza kutajia Wakenya walibobea Kati kila Nyaja iwe michezo, Literature , sayansi e.t.c

Wakenya wengi wana investments South Africa hutaskia Wakenya wakisema Chris kirubi owns 51percent stake of Haco Tiger brand ambayo ni kampuni Ya SA.
As we speak Kenya overtook SA as the biggest investor in other African countries.Chandarias Comcraft group is in operation in over 15 African countries.
The list of Kenyan exploits is endless .You can't compare apples with Oranges.
 
Kwani unadhani wakifuta Visa ndio Wakenya wataanza kwenda Africa Kusini?
Kuna zaidi ya wakenya 40,000 wanaoishi south Africa .Wakenya wanaoenda South Africa kwa shughuli za kibiashara na Masomo pia ni wengi Sana .
Wakenya kwa kawaida yao ni watu wakujituma.Nyinyi mko SADC na mnaingia SA Visa free na Bado hamjachangamkia fursa mnazo pata

Kujituma vp mkuu wakat tunawalisha kwa chakula safi toka kwetu magu alizuia magar kidg mkaanza kulia na kumsifia kukaisha toka siku hiyo juzi jaguar analia amfanyi biashara kisa wageni wakiwemo wabongo na uganda wanafanya sana biashara ajira kwenu hakuna hata kwa wakenya wanakuja bongo na marekani ili wapate kula sisi sio wabaguzi tunawapa ajira unaleta kuburi tukifanya kama huawei yaliowakuta utalia
 
Sijui unasema nini wewe .ilanajua ni wivu inakusumbua
Naweza kutajia Wakenya walibobea Kati kila Nyaja iwe michezo, Literature , sayansi e.t.c

Wakenya wengi wana investments South Africa hutaskia Wakenya wakisema Chris kirubi owns 51percent stake of Haco Tiger brand ambayo ni kampuni Ya SA.
As we speak Kenya overtook SA as the biggest investor in other African countries.Chandarias Comcraft group is in operation in over 15 African countries.
The list of Kenyan exploits is endless .
You can't compare apples with Oranges.
Lete evidence acha ujinga wako wewe, hao wote uliowataja ukiwachanfanya, investments zao hazifikii hata nusu ya investments za "The only billionaire, in EAC", yaani Mo Dewji, lakini hatupigi kelele, ninyi ni watu hovyo sana.
 
Lete evidence acha ujinga wako wewe, hao wote uliowataja ukiwachanfanya, investments zao hazifikii hata nusu ya investments za "The only billionaire, in EAC", yaani Mo Dewji, lakini hatupigi kelele, ninyi ni watu hovyo sana.
Hovyo mno. Wanajikuta wapo matawi na kumbe ni maboya na washamba tu.
 
Back
Top Bottom