Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yewomiiiiiiiiiiiiiiiiiihhhh!!!!!Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Umri unaruhusu? Kikatiba mtu mwenye wadhifa kama wake inakuwaje pale anapo stafu na kutaka kuwania uraisi? Huna haja ya kuhamia bujumbura wakati probability ya yeye kuwa raisi ni 1/275Nitahamia burundi
Lolote linawezekanaUmri unaruhusu? Kikatiba mtu mwenye wadhifa kama wake inakuwaje pale anapo stafu na kutaka kuwania uraisi? Huna haja ya kuhamia bujumbura wakati probability ya yeye kuwa raisi ni 1/275
Ikiwa lolote kama la mwezi wa tatu basi muha wa kigoma anatwaa usukaniLolote linawezekana
Be ready🤣
Ikiwa vijana wenyewe wa Tanzania wanawaza kijinga namna hii, basi taifa lina safari ndefuHapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Sukuma gang wahed weweHapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Kwanza kakatwa vidole vya miguu sababu ya diabetes, pili anaishi na VVU. Sijui kama hata hiyo 2025 ataionaHapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Huyu? Bwana uturehemu!Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Hafai hata kidogo......na asijaribu kuota huo urais....analipa watu mshahara ambao siyo wabunge....ikulu ni mahali patakatifu....panatakiwa mtu ambaye hana mawaa msafi na mwenye kuheshimu KTS......Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?