Speaker Job Ndugai ni Presidential material 2025

Speaker Job Ndugai ni Presidential material 2025

Nawashangaa watoto wanaoota eti Blai Ndugai anafaa kwa Urais
yeye keshajiwekea KINGA lakini itafumuliwa na Uhujumu uchumi wake wote utaonekana
wengine eti Hum Polepole
kaupiga mwingi
 
IMG_20210510_004157.jpg
 
Samia Suluhu Hassan bado ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa miaka mingine minne(4) ijayo, tena iliyojaa na kusukwasukwa.

Hivi tunavyomlaani, tunamlaumu na kumtakia mabaya tunajichelewesha sisi wenyewe.

Tumsaidie Rais pale tunapoweza kwa nafasi zetu na utanzania wetu

Pia tumuombee sana yeye na taifa letu kwa imani zetu kwa ujumla ili Mungu ampe ndoto na maono ya kutupeleka mbele. Amzidishie afya na hekima ya kutuongoza kwa yale yote tunayotamani
 
Huyu mzee si ndiye aliyehamishia ofisi ya spika jijini Mumbai!
Huyu mheshimiwa alitumia mabilioni ya shilingi akitibiwa maradhi yasiyojulikana nchini India.
Labda aogombee uraisi "Yanga Afika".
 
Huyu mzee si ndiye aliyehamishia ofisi ya spika jijini Mumbai!
Huyu mheshimiwa alitumia mabilioni ya shilingi akitibiwa maradhi yasiyojulikana nchini India.
Labda aogombee uraisi "Yanga Afika".
Bilioni 29 zilitumika kwenye matibabu hewa ya huyu kifaduro
 
yaani anafanya mambo ya kizamani mno mambo ya mabakuli yalikuwa enzi msoga huko na porojo kibao vitendo zero
 
Je ela za miradi zilikuwa zinapatikana wapi before? Je Tz inavyanzo vya mapato vya kujitosheleza yaani vya halali?mama 5 tena.
 
Bilioni 29 zilitumika kwenye matibabu hewa ya huyu kifaduro
Bilioni 29 zingetosha kujenga angalau kilometa 10 za SGR.
Amepunguza hela za kujenga reli halafu anashangaa mikopo!
Bado pia anavujisha hela za nchi kwa kuwalipa wabunge 19 wasio na sifa!!
CCM wamshughulike kichama huyu spika.
 
Hivi wagogo mnawajua nyie. Wale watu washamba aseee na wanavuburi sana. Mwacheni apambane na Kongwa yake na bunge lake lililopitisha mikopo afu leo analalama sijui alikuwa wapiiii huyu zeee
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
HAFAI HAFAI HAFAI ATUELEZE TRILION 1.5 ZILIPEKELEKWA WAPI? WAKATI ULE WA PROF ASAD, IPO HAJA YA WAZO LA NAPE KUFANYIWA KAZI ZIPO JUU YA MATRILION ALIYIKOPA MWENDAZAKE KWA KIPINDI KIFUPI MNO ALMOST 30TRILION TENA BILA BUNGE KUJADILI HUKU YEYE AKIWA SPIKA WATANZANIA TUNATAKA KUJUA FEDHA ZINATUMIKAJE NO MATTER UWE MKOPO AU MAPATO YA NDANI.
 
Of all the people in this village?
Basi hata Kalamagenda Kabugi anaweza kua rais
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?

Dan! Ndugai anamsimanga rais kimasihara
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Kweli ni aibu kuwa international beggar. Lakini ni fedheha zaidi kuongozwa na mtu kama Ndugai
 
Back
Top Bottom