Speaker Job Ndugai ni Presidential material 2025

Speaker Job Ndugai ni Presidential material 2025

Samia Suluhu Hassan bado ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa miaka mingine minne(4) ijayo, tena iliyojaa na kusukwasukwa.

Hivi tunavyomlaani, tunamlaumu na kumtakia mabaya tunajichelewesha sisi wenyewe.

Tumsaidie Rais pale tunapoweza kwa nafasi zetu na utanzania wetu

Pia tumuombee sana yeye na taifa letu kwa imani zetu kwa ujumla ili Mungu ampe ndoto na maono ya kutupeleka mbele. Amzidishie afya na hekima ya kutuongoza kwa yale yote tunayotamani
Mama D we mwombee tu,kwa mm hapana...
Sio rahisi wangu.
 
Wewe CHADEMA haya mambo ya CCM hayakuhusu,
Kama ni Mtanzania anahaki ya kujua kinachoendelea kuhusu nchi yake, so hii nchi ni ya waTanzania na sio ya ccm mpaka umwambie Yeye ni Chadema mambo ya ccm haya muhusu. NON SENSE!!![emoji848]

Watu wanapozungumza mambo ya msingi kuhusu mustakabali wa Taifa letu linapoelekea acheni kuweka mbele uchama.
 
Huyu mzee si ndiye aliyehamishia ofisi ya spika jijini Mumbai!
Huyu mheshimiwa alitumia mabilioni ya shilingi akitibiwa maradhi yasiyojulikana nchini India.
Labda aogombee uraisi "Yanga Afika".
hata Makazi ya cheo chake kayahamishia nyumbani kwake Kisasa
kule uzunguni ni ofisi tu
Kawekeza akitegemea jina litampita Malecela sasa Dodoma pamebuma watu wanarudi Dar kwanini asimkumbuke mwendazake?
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Kituko cha mwaka

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Mwendazake ndugai aliufayata, deni la serikali mama amelikuta lishakubuhu wacha na sisi tuendelee kukopa tuwajengee watanganyika Maendeleo kwa kasi zaidi, ndugai ameshaona ajira yake si yakudumu tena na ndio makundi tuliyokuwa tunayatafuta ndani ya ccm, tulikuwa tunaulizana nani yupo nyuma ya kiroboto? sasa yametimia njia ni nyeupe zaidi 2025.,
 
Um
Samia Suluhu Hassan bado ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa miaka mingine minne(4) ijayo, tena iliyojaa na kusukwasukwa.

Hivi tunavyomlaani, tunamlaumu na kumtakia mabaya tunajichelewesha sisi wenyewe.

Tumsaidie Rais pale tunapoweza kwa nafasi zetu na utanzania wetu

Pia tumuombee sana yeye na taifa letu kwa imani zetu kwa ujumla ili Mungu ampe ndoto na maono ya kutupeleka mbele. Amzidishie afya na hekima ya kutuongoza kwa yale yote tunayotamani
Tumsaidie nini? Yeye apambane kivyake si aliutaka urais
 
Back
Top Bottom