Speaker Job Ndugai ni Presidential material 2025

Speaker Job Ndugai ni Presidential material 2025

Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Unataka tuwe kama Zambia kila siku Rais anafia madarakani
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Nchi hii ina watu wenye akili ndogo sana
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Hamna kitu pale iwezekana kanyimwa mgao ndio msnA anaongea
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
Labda akawe Rais wa serikali ya mumeo na mab"wana zako
 
Samia Suluhu Hassan bado ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa miaka mingine minne(4) iliyojaa na kusukwasukwa.

Hivi tunavyomlaani, tunamlaumu na kumtakia mabaya tunajichelewesha sisi wenyewe.

Tumsaidie Rais pale tunapoweza kwa nafasi zetu na utanzania wetu

Pia tumuombee sana yeye na taifa letu kwa imani zetu kwa ujumla ili Mungu ampe ndoto na maono ya kutupeleka mbele. Amzidishie afya na hekima ya kutuongoza kwa yale yote tunayotamani
Hawa mbwa wachache wakiongozwa na udini na ukabila, wanatapatapa tu,ni wakupuuzwa
 
Tulia ukamuliwe kinyesi
Mkileta fujo, serikali Ina shehena ya weapon kwajili ya wahaini Kama nyinyi na magaidi wakubwa,tutawavunja uti wamgongo kenge nyinyi, Tanzania Kwanza upuuzi mwingine baadae, nyie ni wahaini inatakiwa mpelekewe Moto haraka
 
Mkileta fujo, serikali Ina shehena ya weapon kwajili ya wahaini Kama nyinyi na magaidi wakubwa,tutawavunja uti wamgongo kenge nyinyi, Tanzania Kwanza upuuzi mwingine baadae, nyie ni wahaini inatakiwa mpelekewe Moto haraka
Tuliza kinyeo we mnywa mbege , Bibi yako harudi 2025
 
Hawa mbwa wachache wakiongozwa na udini na ukabila, wanatapatapa tu,ni wakupuuzwa

Mbona mbwa!? Halafu mimi sijaona udini kwenye hao wanaompinga
Tukikosoa tukiwa na ushauri wa kujenga badala ya dharau na matusi inaweza kusaidia zaidi
 
Tuliza kinyeo we mnywa mbege , Bibi yako harudi 2025
Kenge wewe, we na kundi lenu mtachezea risasi za kwenye makalio yenu, kuna watu wamekula viapo vya kuwapoteza wapuuzi Kama nyie mnaotaka kuyumbisha nchi
 
Kenge wewe, we na kundi lenu mtachezea risasi za kwenye makalio yenu, kuna watu wamekula viapo vya kuwapoteza wapuuzi Kama nyie mnaotaka kuyumbisha nchi
Nani anamiliki hzo risasi we kiazi mbatata?
 
Hapo mwanzoni aliyumba ,Ila kwa point aliyoongea anastahi 2025 apitishwe na CCM kugombea urais ,ni aibu kupitisha pitisha bakuli kimataifa huku umepandisha tozo. Umeweka tozo kila sehemu halafu bado unapeleka bakuli?unataka kutuuza tunaangalia?
sio hivyo mdada. The projects for which loans are taken require substantial outlays, we are talking about trillion of shillings, which cannot be raised through taxation as one idiot was making you to believe. Imagine average TRA collection per month is 1.5t/= . how do you apportion this amount between recurrent expenditure, financing debts (external and internal) and remain with a balance to finance development project? Definitely, you will never complete on-going projects.
The only option is to rely on debt-financing. Samia is right to opt for borrowing in order to avoid penalties and embarrassment
 
Back
Top Bottom