Maty mzima wewe? I cant wait to see you mydia!
Savoi hapaendeki safari hii?!
uchokozi huo MJ1...unajua kabisa 'mashetani' mengine hayapendi maeneo hayo!
aiseeedah!hii thread nzuri,kigugumizi nachopataga hata kuongea huwa siwezi
<br />aiseee<br />
<br />
umeonaga eh?
Kweli mapenzi ni kikohozi.............
Mamito upo? Mambo yako? Karibu Ulanzi.Hata hayo mashetani safari hii yatasalimu amri, lazima kiti wao afurahie japo mara moja moja
SRM yako natumaini sio kushinda kwenye miti tuMamito upo? Mambo yako? Karibu Ulanzi.
Taratibu Chauro banaadah!hii thread nzuri,kigugumizi nachopataga hata kuongea huwa siwezi
Mamito upo? Mambo yako? Karibu Ulanzi.
Nipo asee, nimefufuka mzima wewe?
haleluya kama ilivyotabiriwa...karibu!Nipo asee, nimefufuka mzima wewe?
Nipo asee, nimefufuka mzima wewe?hebu ninong'oneze ulichotaka kusema hapa? au ndo mambo ya romatic moment? lol
Umemaliza kila kitu............. Thanks GagaKweli mapenzi ni kikohozi.............
Tunawasubiri waliopitia watu madata, wengine ni ndoto mpaka sasa, all relations i had ni kero tu, sitaki hata kuzikumbuka.
Uskute alikula vocha za watu mbaya sana! Wanawake bana!Acha uongo wewe, hata siku ya kwanza wakati anakutongoza hakuwa romantic?
Mbu na MwanajamiiOne hivi mnajua nyinyi mkiandika kitabu cha malovee mtauza sana? Mmewahi fikiria hilo?
I can connect the dots....Mbu na MJ1 walipotea hapa jukwaani kwa kipindi fulani, na wamerudi pamoja...MwanajamiiOne anashindwa kuelezea furaha yake aliyopewa na mwandani wake kwa siku tatu mfululizo. Ili hali Mbu analeta ushahidi wa picha wa kule alikompeleka barafu wa moyo wake.
Hebu twawaomba wafunguke! Mbu ulimpeleka MwanajamiiOne Ngorongoro?