...aaaarrrrggghhhh, cum on kamanda....
yaaani nawewe unayumbishwa na pepo za kusi na kaskazi?
thought ni majahazi ya kiswahili swahili ndiyo yanayoshabikia "discussing people"
anyway,....to keep the record straight...i love this mwanajamiione, and am dying to
know better the lady behind the keyboard...maana aonekana ni celeb fulani hapa jf and beyond...
a lady of a noble and distinctive character... hehehe...
Na kwa hapo ni LAZIMA upate kibali changu......If you know what I mean......Mjukuu mtiifu ndo huwa anakata kucha za babu, huwa hatoki bila kibali cha babuye.
...aaaarrrrggghhhh, cum on kamanda....
yaaani nawewe unayumbishwa na pepo za kusi na kaskazi?
thought ni majahazi ya kiswahili swahili ndiyo yanayoshabikia "discussing people"
anyway,....to keep the record straight...i love this mwanajamiione, and am dying to
know better the lady behind the keyboard...maana aonekana ni celeb fulani hapa jf and beyond...
a lady of a noble and distinctive character... hehehe...
aaaggrrrr kamanda... ona sasa na wewe umeyumbishwa na nilivyoyumba
hahahaaaaaaaaaaaa, kumbe ulikua mtego tu??
Na kwa hapo ni LAZIMA upate kibali changu......If you know what I mean......Mjukuu mtiifu ndo huwa anakata kucha za babu, huwa hatoki bila kibali cha babuye.
...hahaha, mbona unaandika kwa ukali bana?....
i would love to take your mjukuu kwenye retreat mojawapo hivi karibuni.
tafadhali namuomba...siku tatu tu, akinikataa si basi!
Mkuu mbona nilishaelewa longi tu?? au hujaelewa niliposema mtego??
...ebana sasa huelewi nini bana? nishakwambia nampenda, and am looking forwrd to know her well beyond the keyboard.
kwani kupenda ni ubaya jamani? soulmate ana pete tu kidoleni, kuvishwa pete si kuolewa...you never know...l
labda sometym soon i will be preaching my love for mwanajamiione hapa...
Siku tatu? Orayt, kucha zitakuwa hazijaota. Ole wako unogewe afu uzidishe....Mbu atanunuliwa Xpel kutoka Malaysia!............Inaua mpaka vizazi vyake vijavyo....hahaha, mbona unaandika kwa ukali bana?....
i would love to take your mjukuu kwenye retreat mojawapo hivi karibuni.
tafadhali namuomba...siku tatu tu, akinikataa si basi!
Hommie, ilimradi usinigusie Gaga,King'asti na Keren Hapuch....bado niko kwenye research ya nani anafaa kuwa soulmate wa ODM.hehehehehehe hapa nini kinaendelea? havijaumana kweli au ndo mambo ya Romantic moment sio?
Ngoja na mimi nitafute soul mate. lol
Hommie naona umenimalizia choisi zote sasa? Ngoja nichonge na Mwalimu Gaijin anipe muongozo nani nitoke nae kama Soul Mate..!!Hommie, ilimradi usinigusie Gaga,King'asti na Keren Hapuch....bado niko kwenye research ya nani anafaa kuwa soulmate wa ODM.
Khaaa! Una ugomvi na fellow tablet wangu klorokwini? Kashanunua raba mtoni tayari ya kutoka na Gaijin..........We mjaribu Blaki Womani. Huwezi jua mipango ya Invizibo.Hommie naona umenimalizia choisi zote sasa? Ngoja nichonge na Mwalimu Gaijin anipe muongozo nani nitoke nae kama Soul Mate..!!
hahaha kumbe? mi itabidi nitafute mchele mchele na bahama nimuibukie Black woman! Ila ka moyo kangu kamemdondokea Keren_Hapuch!!Khaaa! Una ugomvi na fellow tablet wangu klorokwini? Kashanunua raba mtoni tayari ya kutoka na Gaijin..........We mjaribu Blaki Womani. Huwezi jua mipango ya Invizibo.
Ewaaaa...... ukishindwa nistue, ntakufanyia mpango kwa Lily Flower, Preta au Husninyo.hahaha kumbe? mi itabidi nitafute mchele mchele na bahama nimuibukie Black woman! Ila ka moyo kangu kamemdondokea Keren_Hapuch!!
hehehehehehe hapa nini kinaendelea? havijaumana kweli au ndo mambo ya Romantic moment sio?
Ngoja na mimi nitafute soul mate. lol
Kupenda mtu sio crime, no need to be ashame of, au vp wajameni, just be happy
Hommie, ilimradi usinigusie Gaga,King'asti na Keren Hapuch....bado niko kwenye research ya nani anafaa kuwa soulmate wa ODM.
<br />Tunawasubiri waliopitia watu madata, wengine ni ndoto mpaka sasa, all relations i had ni kero tu, sitaki hata kuzikumbuka.
Hapa ndo nakupendea ODM hupendi hommie wako akose soul mate. Hapo kwa Husninyo sijui mzee wa MIA atanielewa kweli, maana juzi juzi tu hapa kulikua na mtafaruku na X Girl Friend.!Ewaaaa...... ukishindwa nistue, ntakufanyia mpango kwa Lily Flower, Preta au Husninyo.
hommie kuna Umuhimu wa Kufanyia Mabadiliko makubwa chama chetu kile cha I.S.C !!hivi huu ni ukabaila mamboleo ama nini? Hommie Kimey ebu do ze nidiful untafsirie hapa ODM anamaanisha nn?