wewe jamaa huekewi kabisa.
Nimeenda kwa hio website na sijaona tender yoyote ya ujenzi wenyewe wa pipeline. Tender unazozungumzia wewe sio za ujenzi wa pipeline hio. Mbona unajifanya kwamba huelewi vitu rahisi? Najua wewe unazungumzia tender zile za provision of insurance na kadhalika. Hizo sio tender za ujenzi. Tender za kuresettle watu ni upuuzi tu maana huo sio ujenzi wenyewe. Huo ni kama site clearance and site preparation work tu. Mimi nataka uweke hapa tender inayosema kwamba kuna expression of interest for the provision of pipeline construction services au tender inayosema expression of interest for construction of oil tank farm at Tanga port. Natumai sasa umeelewa tunachozungumzia hapa.
Mimi nataka kuona tender ya kampuni ya ujenzi wa pipeline. Mambo ya resettlement sina haja nayo. Nitarudi tu wakati hizo tender zitatangazwa. Nyinyi endeleeni kuresettle watu.Tony254 do you know the weight of land acquisition in project which involves resettlement?
Uwe makini unapoongea haya mambo, na si kubwatuka tu.
sasa unaebdaje namba 2 bila ya namba 1. EPCM tender ndio unazungumzia wewe yani engineering, procurement, construction and mgt. sasa procurement unafanyaje kama huja acquire land, au unaanzaje construction kama huja acquire land?Nimeenda kwa hio website na sijaona tender yoyote ya ujenzi wenyewe wa pipeline. Tender unazozungumzia wewe sio za ujenzi wa pipeline hio. Mbona unajifanya kwamba huelewi vitu rahisi? Najua wewe unazungumzia tender zile za provision of insurance na kadhalika. Hizo sio tender za ujenzi. Tender za kuresettle watu ni upuuzi tu maana huo sio ujenzi wenyewe. Huo ni kama site clearance and site preparation work tu. Mimi nataka uweke hapa tender inayosema kwamba kuna expression of interest for the provision of pipeline construction services au tender inayosema expression of interest for construction of oil tank farm at Tanga port. Natumai sasa umeelewa tunachozungumzia hapa.
Ni vizuri umekubali kwamba ujenzi bado haujaanza.sasa unaebdaje namba 2 bila ya namba 1. EPCM tender ndio unazungumzia wewe yani engineering, procurement, construction and mgt. sasa procurement unafanyaje kama huja acquire land, au unaanzaje construction kama huja acquire land?
Hahaha kununua shamba ni ujenzi gani? Wacheni mchezo.Ina maana hukujua kwamba anything regarding construction you have to secure land?
Huo ni ujenzi tayari.
Tuta tuta tutaEPCM contract ya TZ to be awarded next Month.View attachment 1870491
Nawaombea mema kwamba ifanyike next month. But I won't hold my breathEPCM contract ya TZ to be awarded next Month.View attachment 1870491
4yrs after taking that pipeline deal from us show me only 1meter that is already constructed or shut tha JamiiForums this in your there no pipeline and its not happening any time soon.
Wabongo bhana!My friend Oil Pipeline construction is more than water Pipile construction from the River to your Bed seater Cubicle!!!
For your information things are going as planned.
Uganda-Tanzania Oil Pipeline to Be Completed By June 2020
SGR mliaema hivyo pia, but finally we have it. wait and seeTuta tuta tuta
Wabongo bhana!
toka mwaka 2016 hakuna lolote lililotendeka, yani ni bra bra bra, yada yada kibao na dezo dezo tu ndizo tunazozishuhudia.Tumekukosea nini Mkuu?
toka mwaka 2016 hakuna lolote lililotendeka, yani ni bra bra bra, yada yada kibao na dezo dezo tu ndizo tunazozishuhudia.
mara huyu kaenda Kampala, yule nae kaja Dar,,, mbali na kunywa chai na kugeuza, hatuoni utendakazi wowote kwa ground. ni kuzungushana tu
toka mwaka 2016 hakuna lolote lililotendeka, yani ni bra bra bra, yada yada kibao na dezo dezo tu ndizo tunazozishuhudia.
mara huyu kaenda Kampala, yule nae kaja Dar,,, mbali na kunywa chai na kugeuza, hatuoni utendakazi wowote kwa ground. ni kuzungushana tu