Special thread: Hii ni kwa wakali wa kutunga lyrics (nyimbo) za mahaba hasa kwa mfumo wa RnB

Special thread: Hii ni kwa wakali wa kutunga lyrics (nyimbo) za mahaba hasa kwa mfumo wa RnB

Penzi umefanya mlima, nitapanda vipi mie kilema..
Maumivu kwangu ni suna, sina pakushika nalalama...
Una roho mbaya ya chuma, umekosa hurumaa..
Ila sio mbayaaa nimekomaa, umeniumizaaa
Moyo bado una kinyongoo, natamani kulipaa..
Kiza totoro tongotongo, nani atanifutaaa
Sawaa labdaa hatuendii...
Unavyofanya haufananii...
Penzi gani la ushindanii..
We katiri zaidi ya shetanii...
Moyoni umeleta msibaaa, umeacha matangaa...
Unanenepa unakula unashibaa... huku mwenzako nakondaaa...
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Penzi umefanya mlima, nitapanda vipi mie kilema..
Maumivu kwangu ni suna, sina pakushika nalalama...
Una roho mbaya ya chuma, umekosa hurumaa..
Ila sio mbayaaa nimekomaa, umeniumizaaa
Moyo bado una kinyongoo, natamani kulipaa..
Kiza totoro tongotongo, nani atanifutaaa
Sawaa labdaa hatuendii...
Unavyofanya haufananii...
Penzi gani la ushindanii..
We katiri zaidi ya shetanii...
Moyoni umeleta msibaaa, umeacha matangaa...
Unanenepa unakula unashibaa... huku mwenzako nakondaaa...
Makini sir unajua sana
 
Verse 1
Ukweli sina chuki nawe, kusema nikukinai,
Huu wimbo mahususi kwako, mi siruki hako, kamtego kako baby.

Achana na mamluki nawe,waletao uzushi wale,
Maneno mkuki, usije ukanishuti, uniache mahututi darling.

Kumbikumbi wanaopaa, levo moja tunafatana,
Mchina na mjapan, wakituona tunafanana,
Inawezekana ndo sababu wanaona wivu sana,
Wanasema tutaachana tu(Oh no!)

Waambie hawatutishi, kuachana sio rahisi,
Mtoto we ni pisi, na bado uko peace,
You give me that peace of mind

Bridge
Nakumbuka ile kipindi, naanza kukujua
Enzi zile sina kiki, bado tupo chuo
Sina boom nina dhiki, hukujifaragua
Hukunipiga bluetiki, hukuwahi nizingua
Na wivu haujifichi, kuna lecture alijua
Akaweka vizingiti, usimalize chuo
Lakini bado haukuchiti,
Ndomaana nashangaa unaponiuliza
Do you love me? Coz

Hook
How can I not*4


Verse 2
Sasaivi tunakiwasha kama pilipili
Kila pozi kwenye picha tuna kili kili
Unanipenda na unaonyesha sio siri siri
Nishacheza ngoma yako ya makirikiri

Penzi bila kipimo (Baby kama lipi hilo?)
Kama wafilipino

(basi Usifanye igizo, penzi lisiwe na likizo,
Mi nakupa kipimo,Twende home utie wino.
.
Bridge
Coz nakumbuka ile kipindi, naanza kukujua,
Enzi zile sina kiki, bado tupo chuo,
Sijasuka bila wigi, Ulinisifia,
Ukanipa ile gifti, nlipougua)


Saivi Michongo imetiki,Jipange kutanua
Nitakupa kila kitu ushindwe kuchagua
(Na mimi staki kitu,Nimeshaamua
Ni wewe nachagua, Kwakuwa


Hook
How can I not*4
 
Am record
Natamani kila siku ni nawe
Everytime baby niwe nawe
Furaha yangu kwangu ni wewe
Everything kwangu ni wewe
Anayenipa amani ni wewe
Peace and love baby ni wewe

Nakupa penzi langu kwako
Wewe ni wangu na mimi ni wako
Kwakuwa nathamini penzi lako
Sitokuacha uteseke pekee yako

Bridge
Nipe amani baby (I want to love)
Nipe thamani Mamy ( I want to love)
Sogea karibu nami (I want to love)
Nipe zaidi darling (I want to love)


Chorus
Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love

Usije niacha ukaenda
Na moyo wangu ukaumia
Mimi kwako nimeshapenda
Na ndio maana nakuhudumia

Nitakupa chochote unachotaka we
Kwako niko radhi hata zege ni bebe
Nishike nikushike nikubebe
We ndo wangu wa milele
My baby girl

Bridge
Nipe amani baby (I want to love)
Nipe thamani Mamy (I want to love)
Sogea karibu nami(I want to love)
Ongeza zaidi darling (I want to love)

Chorus
Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love

Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love
Nipe love nami nikupe love

#the end
 
Verse 1
Ukweli sina chuki nawe, kusema nikukinai,
Huu wimbo mahususi kwako, mi siruki hako, kamtego kako baby.

Achana na mamluki nawe,waletao uzushi wale,
Maneno mkuki, usije ukanishuti, uniache mahututi darling.

Kumbikumbi wanaopaa, levo moja tunafatana,
Mchina na mjapan, wakituona tunafanana,
Inawezekana ndo sababu wanaona wivu sana,
Wanasema tutaachana tu(Oh no!)

Waambie hawatutishi, kuachana sio rahisi,
Mtoto we ni pisi, na bado uko peace,
You give me that peace of mind

Bridge
Nakumbuka ile kipindi, naanza kukujua
Enzi zile sina kiki, bado tupo chuo
Sina boom nina dhiki, hukujifaragua
Hukunipiga bluetiki, hukuwahi nizingua
Na wivu haujifichi, kuna lecture alijua
Akaweka vizingiti, usimalize chuo
Lakini bado haukuchiti,
Ndomaana nashangaa unaponiuliza
Do you love me? Coz

Hook
How can I not*4


Verse 2
Sasaivi tunakiwasha kama pilipili
Kila pozi kwenye picha tuna kili kili
Unanipenda na unaonyesha sio siri siri
Nishacheza ngoma yako ya makirikiri

Penzi bila kipimo (Baby kama lipi hilo?)
Kama wafilipino

(basi Usifanye igizo, penzi lisiwe na likizo,
Mi nakupa kipimo,Twende home utie wino.
.
Bridge
Coz nakumbuka ile kipindi, naanza kukujua,
Enzi zile sina kiki, bado tupo chuo,
Sijasuka bila wigi, Ulinisifia,
Ukanipa ile gifti, nlipougua)


Saivi Michongo imetiki,Jipange kutanua
Nitakupa kila kitu ushindwe kuchagua
(Na mimi staki kitu,Nimeshaamua
Ni wewe nachagua, Kwakuwa


Hook
How can I not*4
Salute kwako mkuu umetisha sana aisee
 
Song: Mbususu
Song by: Melki the Storyteller

Stanza 01:
Mke wangu nakushukuru kwa kuwa na mbususu.
Mbususu yako imedoda kupita maelezo,
Kila niuchomekapo mkuyenge wangu naskia raha,
Yaani mpaka natamani niuze kiwanja cha urithi

Mashavu yakoyanavutia sawa na tumacho twako twa goroli,
Pia hayana utofauti na mashavu ya huki chini,
Unaponiudhi nikakurapua mmbao, mlio wake unafanana na ule wa matako yako wakati tunanyanduana,
Pia shavu lako linavutika sawa na shavu lako la uko chini. Full balabendi
 
Back
Top Bottom