Special thread: Hii ni kwa wakali wa kutunga lyrics (nyimbo) za mahaba hasa kwa mfumo wa RnB

Special thread: Hii ni kwa wakali wa kutunga lyrics (nyimbo) za mahaba hasa kwa mfumo wa RnB

Mkuu mm now she na mashairi just for funny,nayo commercial ambayo siwezi kupost humu

Ngoja nikitulia labda nitaandika ya kwa ajili ya humu
 
Mgumba huomba mtoto, mdangaji huua kuficha aibu zakee..
Masikini aotapo ndoto, tajiri halali hukuagua hesabu zakee..
Naomba uaminii, vyenye faida huanza na hasaraa...
Naomba ujiaminii, yatumie uliyopitia kama darasaaa..
Nimepitia mengiii, nikasema sitapenda tenaaa..
Kumbe penye miti hawajengii, nipeleke maji jangwaniii...
Nishajua nanii hawabebeki, nani mbeleko mgongoni huchanaaa..
Nishaumia walahi kudadeki, njoo tubebane tuuguzaneee..
 
Jitokeze pia ni kali sana unajua sana mkuu,mi nawwza kuimba na kutunga melody ila kuandika sio sana.
 
Mgumba huomba mtoto, mdangaji huua kuficha aibu zakee..
Masikini aotapo ndoto, tajiri halali hukuagua hesabu zakee..
Naomba uaminii, vyenye faida huanza na hasaraa...
Naomba ujiaminii, yatumie uliyopitia kama darasaaa..
Nimepitia mengiii, nikasema sitapenda tenaaa..
Kumbe penye miti hawajengii, nipeleke maji jangwaniii...
Nishajua nanii hawabebeki, nani mbeleko mgongoni huchanaaa..
Nishaumia walahi kudadeki, njoo tubebane tuuguzaneee..
Hahahahaha umejitahidi mkuu sio mbaya

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Mgumba huomba mtoto, mdangaji huua kuficha aibu zakee..
Masikini aotapo ndoto, tajiri halali hukuagua hesabu zakee..
Naomba uaminii, vyenye faida huanza na hasaraa...
Naomba ujiaminii, yatumie uliyopitia kama darasaaa..
Nimepitia mengiii, nikasema sitapenda tenaaa..
Kumbe penye miti hawajengii, nipeleke maji jangwaniii...
Nishajua nanii hawabebeki, nani mbeleko mgongoni huchanaaa..
Nishaumia walahi kudadeki, njoo tubebane tuuguzaneee..
Sema mkuu kwenye huo mstari ulipoishia na jangwanii verse inayofuata ulitakiwa uishia na vina vya herufi iii na sio AAA mkuu ingependeza zaidi

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Song.. Tanga
Natoka zangu dar naenda tanga nipo kwenye basi la tashirifu konda anazingua eti anavuta wisiston ndani ya basi,konda vip mbona chenga anasema anakata stimu,abiria nao wakaanza oooh konda tupe tupashe misuli tuondoe baridi eeeeh dereva kumbe ana kitu cha arusha si akawasha daaah kweli dereva noma nikaomba radha adimu, pembeni nipo na mtoto kali si akawasha chake kitu cha ubaloz embassy daah hii kitu ipo mwake,tukafika chalinze kwenye mzani sasa maraa ooh abiria shukeni gar ipunguze uzitoo watuu ooh ooh,konda ujasiliamal mwingi shuka wew,mida ya saba usiku gari inafika tanga mkwakwani.....oioioioi

Coras
Tanga noma ,tanga noma
Tanga noma,tanga noma
 
Am record
Nakumbuka siku moja ulipokuja
Uliniambia eti kwamba unanipenda
Ukaniahidi utanipa penzi la heshima
Na utaishi nami na kujenga familia

Naaami nilikupenda jinsi ulivyo
Ulikuwa mzuri nakuupenda moyo wako
Nikalitunza na kulithamini penzi lako
Sitokuwacha uteseke pekee yako

Sasa naona yote yamebadilika
Umeondoka na kuniacha kwenye giza
Hakuna taa mbalamwezi wala nyota
Najiuliza ni wapi pakukimbila

Chorus
Uupweke wangu leo utanifanya nijutie
Kuwa mbali nawe ndo sababu yako wewe
Uuumeondoka na kuniacha niteseke

Uupweke wangu leo utanifanya nijutie
Kuwa mbali nawe ndo sababu yako wewe
Uuumeondoka na kuniacha niteseke

Baby ooh baby naumia mwenzio ooh.

Verse 2
Hivi kwanini uliamua kuondoka (wewe)
Umeniacha na moyo wangu umeumiza (wewe)
Nikosa gani ambalo wewe unaliwaza (wewe)
Kama nimekosa msamaha nakuomba( wewe)

Chorus
Uupweke wangu leo utanifanya nijutie
Kuwa mbali nawe ndo sababu yako wewe
Uuumeondoka na kuniacha niteseke y

Uupweke wangu leo utanifanya nijutie
Kuwa mbali nawe ndo sababu yako wewe
Uuumeondoka na kuniacha niteseke

Baby noo ooh baby naumia mwenzio ooh
Baby noo ooh baby naumia mwenzio ooh

#the end

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Song.. Tanga
Natoka zangu dar naenda tanga nipo kwenye basi la tashirifu konda anazingua eti anavuta wisiston ndani ya basi,konda vip mbona chenga anasema anakata stimu,abiria nao wakaanza oooh konda tupe tupashe misuli tuondoe baridi eeeeh dereva kumbe ana kitu cha arusha si akawasha daaah kweli dereva noma nikaomba radha adimu, pembeni nipo na mtoto kali si akawasha chake kitu cha ubaloz embassy daah hii kitu ipo mwake,tukafika chalinze kwenye mzani sasa maraa ooh abiria shukeni gar ipunguze uzitoo watuu ooh ooh,konda ujasiliamal mwingi shuka wew,mida ya saba usiku gari inafika tanga mkwakwani.....oioioioi

Coras
Tanga noma ,tanga noma
Tanga noma,tanga noma
Mkuu hebu ipangilia vina vya mwishoni mwa verse ilete radha lyrics yako. Ila hongera mkuu umejaribu na burudani tumeipata

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Mitego

Verse 01

Tukikutana anabadili njia
Ila nkigeuka kumbe ananikodolea
Maneno mengi sana ananikapazia
Mbele za watu namshobokea

Mara apite home na upande wa kanga
Tena anainama nizione shanga
Na vile kafungasha zigo msambwanda
Mi nabaki Niko njia panda

Chorus
Nilizani bahati mbaya kumbe sio... Sio
Nilikua najidanganya...
Anaona haya Moyo Mbio.. Mbio
Nkizingua ntajichanganya...

Kumbe ni mtego
Gusa unase..
Ni mtego
Gusa unase...
 
Song.. Tanga
Natoka zangu dar naenda tanga nipo kwenye basi la tashirifu konda anazingua eti anavuta wisiston ndani ya basi,konda vip mbona chenga anasema anakata stimu,abiria nao wakaanza oooh konda tupe tupashe misuli tuondoe baridi eeeeh dereva kumbe ana kitu cha arusha si akawasha daaah kweli dereva noma nikaomba radha adimu, pembeni nipo na mtoto kali si akawasha chake kitu cha ubaloz embassy daah hii kitu ipo mwake,tukafika chalinze kwenye mzani sasa maraa ooh abiria shukeni gar ipunguze uzitoo watuu ooh ooh,konda ujasiliamal mwingi shuka wew,mida ya saba usiku gari inafika tanga mkwakwani.....oioioioi

Coras
Tanga noma ,tanga noma
Tanga noma,tanga noma
Nomaa
 
Back
Top Bottom