Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Turudishie Hela zetuNapenda ugali, na Na na shekpe
More love, more chapati
Sigara bila Kitunguu haiwaki
U know I know, when they know
ahhh u dey u dey u dey
Prakatumba albinoooooo Half american.
Mr Dell Joannah, madan Moto mkali Tayana-wog, is equal to 5+9
I mean no malice to nobody,
Leejay49 wbeh quarantine is police kamata hao
👉Nyimbo tayari😄😄
😁 sasa hii ni niniNapenda ugali, na Na na shekpe
More love, more chapati
Sigara bila Kitunguu haiwaki
U know I know, when they know
ahhh u dey u dey u dey
Prakatumba albinoooooo Half american.
Mr Dell Joannah, madan Moto mkali Tayana-wog, is equal to 5+9
I mean no malice to nobody,
Leejay49 wbeh quarantine is police kamata hao
👉Nyimbo tayari😄😄
😁 sasa hii ni niniNapenda ugali, na Na na shekpe
More love, more chapati
Sigara bila Kitunguu haiwaki
U know I know, when they know
ahhh u dey u dey u dey
Prakatumba albinoooooo Half american.
Mr Dell Joannah, madan Moto mkali Tayana-wog, is equal to 5+9
I mean no malice to nobody,
Leejay49 wbeh quarantine is police kamata hao
👉Nyimbo tayari😄😄
Ngoma ya Mwaka 🤒, nachukua grammy😁 sasa hii ni nini
Niacheni😄, Grammy hiyoo kwa Mr Dell🤣Turudishie Hela zetu
Huyu jamaa ndo anajua, uzi mzimaVerse 1
Ukweli sina chuki nawe, kusema nikukinai,
Huu wimbo mahususi kwako, mi siruki hako, kamtego kako baby.
Achana na mamluki nawe,waletao uzushi wale,
Maneno mkuki, usije ukanishuti, uniache mahututi darling.
Kumbikumbi wanaopaa, levo moja tunafatana,
Mchina na mjapan, wakituona tunafanana,
Inawezekana ndo sababu wanaona wivu sana,
Wanasema tutaachana tu(Oh no!)
Waambie hawatutishi, kuachana sio rahisi,
Mtoto we ni pisi, na bado uko peace,
You give me that peace of mind
Bridge
Nakumbuka ile kipindi, naanza kukujua
Enzi zile sina kiki, bado tupo chuo
Sina boom nina dhiki, hukujifaragua
Hukunipiga bluetiki, hukuwahi nizingua
Na wivu haujifichi, kuna lecture alijua
Akaweka vizingiti, usimalize chuo
Lakini bado haukuchiti,
Ndomaana nashangaa unaponiuliza
Do you love me? Coz
Hook
How can I not*4
Verse 2
Sasaivi tunakiwasha kama pilipili
Kila pozi kwenye picha tuna kili kili
Unanipenda na unaonyesha sio siri siri
Nishacheza ngoma yako ya makirikiri
Penzi bila kipimo (Baby kama lipi hilo?)
Kama wafilipino
(basi Usifanye igizo, penzi lisiwe na likizo,
Mi nakupa kipimo,Twende home utie wino.
.
Bridge
Coz nakumbuka ile kipindi, naanza kukujua,
Enzi zile sina kiki, bado tupo chuo,
Sijasuka bila wigi, Ulinisifia,
Ukanipa ile gifti, nlipougua)
Saivi Michongo imetiki,Jipange kutanua
Nitakupa kila kitu ushindwe kuchagua
(Na mimi staki kitu,Nimeshaamua
Ni wewe nachagua, Kwakuwa
Hook
How can I not*4
Maandamano ya fujo yatatokeaNiacheni😄, Grammy hiyoo kwa Mr Dell🤣
Watu full kushangilia, mr dell una jua😄🤒Maandamano ya fujo yatatokea
Looooo🏃🏃Napenda ugali, na Na na shekpe
More love, more chapati
Sigara bila Kitunguu haiwaki
U know I know, when they know
ahhh u dey u dey u dey
Prakatumba albinoooooo Half american.
Mr Dell Joannah, madan Moto mkali Tayana-wog, is equal to 5+9
I mean no malice to nobody,
Leejay49 wbeh quarantine is police kamata hao
👉Nyimbo tayari😄😄
Labda grammy ya mpitimbiNgoma ya Mwaka 🤒, nachukua grammy
Wivu tu😄🤣, we utapata tuzo ya u nusu albino🤒Labda grammy ya mpitimbi
😂 nmekutukana sana kimoyo moyoWivu tu😄🤣, we utapata tuzo ya u nusu albino🤒
Tuzo ya binadamu wa ajabu Ina kwenda kwa nusu albinoo 😄🤣🤣😂 nmekutukana sana kimoyo moyo
We hamnazo kweli 😂Tuzo ya binadamu wa ajabu Ina kwenda kwa nusu albinoo 😄🤣🤣