Toa nukuu yoyote kutoka popote watu waelimike.

Kumbuka hapa Duniani tumekuja kujifunza ni sawa na wanafunzi wanapoenda shuleni alafu wanarudi nyumbani huu utaratibu umeigwa. nyumbani kwetu wote sio mjengoni ni KIFO.

Kwahiyo tunajifunza kila siku ili tukirudi nyumbani tuwe tumeelimika haswaa.

Naanza na nukuu hii:-

Mungu sio Mkristo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi ni mtu aliyejitoa muhanga kwa ajili ya kulisaidia taifa lake, kwa MWL hakuogopa kuzuiliwa misaada, kuwekewa vikwazo alipambana na wakoloni kweli kweli. Tuungane na viongozi wenye nia ya dhati ya kulifikisha taifa letu kwenye nchi ya ahadi.


“Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana wakidhani kuwa paka watajifunga au watafungana kengele shingoni" - Mwl. J. K. Nyerere

View attachment 1457973
 
"Kama mtu ataanza kutapeli wanachama wa chama chake mwenyewe aibe pesa za ruzuku na kujiita mzalendo huyo anafaakupelekwa jera na viboko juu maana kesho atauza nchi" mwalimu nyerere alitabilia chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ali pambana nao lakin alikuwa smart sana. Aliju when and how. Na hakutumia siasa kwenye hili.
Sisi tumeweka siasa na propaganda sana.
Tunawakemea mabeberu.. wakitoa pesa tunapokea..
Wakiwekeza tunawita wawekezaji.. maada wahisani.
Huu ni ukigeugeu.
Mwl J.K.Nyerere alikuwa na neutral point. Ndio maana alikuwa akiingia kwenye meza ya maridhiano na hawa watu.
 
Unavaa mashati na viatu vya mchongoko kutoka Malaysia ili kuwakoga watu imekuwa nchi ya kukogana hii?
 
Waqt wetu hatukuwa na wasomi wengi tofauti na sasa wasomi ndio wanafanya mambo ya hovyo kabisa
 
Pana habari na habari na sio kila habari lazima itoke kwa mfano mimi nimemchapa vibao mama maria Nyerere aah watu akina maganga wanapiga sana wake zao sasa je habari hii ya kumpiga mama maria ni khabari sio Tanzania tu mpaka mataifa mengine yatakuwa interested mwalimu kampiga mkewe sasa je habari hii itoke?
 
Kila nchi ina miiko yake ya uongozi pana waziri mmoja mdogo uingereza alipita na mama mmoja wa barabarani ikawa taabu ikabidi amuandikie waziri Mkuu barua ya kujiuzuru yule waziri mkuu wala hakumjibu akateua mtu mwingine.
 
Nchi inaongozwa kwa katiba sio hovyo hovyo tu mtu ana shauriwa na mkewe kesho yake mnashangaa mambo yamebadilika na mnakuwa na mashaka mashaka hivi maana hamjui kesho mkewe atamshauri nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…