Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mjomba ako kuchoka sanaNzi hata umuweke kwenye mzinga miaka 100 hawezi kutengeneza asali- Mjomba wangu.
Unaishi Kama nzi ukiamka tu unawaza mavi yako wapi-Mjomba wangu
Ishi Kama nyuki ana mpangilio wa kazi anazalisha product "asali-" usiishi Kama nzi hana chochote cha kujivunia-Mjomba wangu
Hajawai kunichoka.Huyu mjomba ako kuchoka sana
[emoji38]Miafrika Ndivyo Tulivyo!
"Nyuki ni NZI aliyeamua kuwa serious na maisha"Nzi hata umuweke kwenye mzinga miaka 100 hawezi kutengeneza asali- Mjomba wangu.
Unaishi Kama nzi ukiamka tu unawaza mavi yako wapi-Mjomba wangu
Ishi Kama nyuki ana mpangilio wa kazi anazalisha product "asali-" usiishi Kama nzi hana chochote cha kujivunia-Mjomba wangu