Rashid baba au rashid mtoto?Nimesoma na Rashid Kawawa
Nashukuru kwa migomo yake tukaongezewaga boom kipindi kile nilikuwa nae room moja campus ya knyma. Siku hiyo nikamuazima koti langu la mvua akarudi limechanika kwenye vurugu za migomo sikumind sana maana hazikupita siku mkwere akatuongezea BOOMHa ha ha, Mtatiro alikuwa kiongozi wa Mambo ya Mikopo UD, jamaa alikuwa anapenda issue za migomo sana, yaani yeye utatuzi wake wa swala lolote ni mgomo tu.
Mkuu umenichekesha sana. [emoji28] [emoji28] [emoji28]Nilibahatika kusoma na Wassira pamoja na mizengo pinda waliokuwa mahandsome darasa zima
Nashukuru kwa migomo yake tukaongezewaga boom kipindi kile nilikuwa nae room moja campus ya knyma. Siku hiyo nikamuazima koti langu la mvua akarudi limechanika kwenye vurugu za migomo sikumind sana maana hazikupita siku mkwere akatuongezea BOOM
Utakua umesoma na Yericko Nyerere wewe yule wa CDM kwa vyovyote vileMimi nilisoma na Nyerere![emoji28][emoji28][emoji28]
Siamini alikuwa mzuri kwenye kiswahili kwani hata kutamka "r" na "l" ni tatizo kwake.Nkmesoma na Makonda anapenda.
Ni mzuri kwa somo la kiswahili na kingereza tatizo anapendaa uongozi. Mambo ya security w shule anayapenda sana na anapenda kuheshimiwa KUZID hata headmaster
We muongo, madawati angebebajeMadawati na Chaki!!
Hahahaaaa!! Nimekumbuka utata wake.Umekumbuka aliyekuwa anadate nae tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
huyo amesoma shule na wachuna ngoziKuna aliyesoma na huyu....
[emoji1] kweli kwenye clip anaelezea alichoenda kukifanya marekani anaonekana ana sigda mkuuJulius ( mkristo) mtatiro ( Mkurya) Mbona ana sigda pajini? Alinunua jina. Jina la katikati la kike ( nyumba ntobu)
Juma mhina?Nimesoma na Jumaa Mhina,Ras Longido,Jamaa alikuwa anapenda papuchi balaa,Sasa ana wake wawili,mmoja yupo Marekani na mwengine yupo kwake Ununio na Arusha naskia yupo na mtoto wa Kimbulu
Mzee wa msoga leo anatimiza miaka 67 tangu azaliweMe nimesoma na mzee wa Msoga primary 1968. Jamaa alikuwa ana akili za kuzaliwa, walimu wakikosa jibu wanamfata awafanyie calculation. Jamaa nilichoamini kuwa genius ni alipotufundisha almentary canary Yaani darasa zima hatujawahi kulisikia hili neno ila alitupigia pindi tukaelewa na nalikumbuka hadi Leo. Jamaa alikuwa bitozi sana kwa siku anaoga hata Mara nane akiguswa tu mbio kuoga.
Yeye stori zake nyingi ni bata bata tu, Yeye ndo mwanafunzi WA kwanza kula pizza shuleni. alisema akiwa Rais kila mtu atakuwa mpiga dili tu pesa nje nje