Hawakosekani[emoji651][emoji652]Uzi huu umeanzishwa kwa lengo zuri tu la kushare tabia ama sifa za viongozi wetu kwa wale waliobahatika kusoma nao ila kuna baadhi ya wadau wanauharibu kwa kukebehi na kuandika uongo
Mimi nimesoma na Rais
Alikuwa na maneno mengi vitendo vichache sito msahau Rais wangu wA chuo
Hata alipohitimu chuo ilipotokea migomo alikamatwa yeye pale SurveyNashukuru kwa migomo yake tukaongezewaga boom kipindi kile nilikuwa nae room moja campus ya knyma. Siku hiyo nikamuazima koti langu la mvua akarudi limechanika kwenye vurugu za migomo sikumind sana maana hazikupita siku mkwere akatuongezea BOOM
Nakwambia jamaa kwa migomo ni shida, yaani yule nadhani hata watoto wake wakifanya kosa anaweza kuwagomea.
heshima yako mkuu..secondary 67 kweli umekula machumvi.Rtd General Davis Mwamunyange......Mawenzi Secondary School:1967 to 1970.
Alikuwa mpole na kichwa yake imejaa vitu....ni namba moja tu miaka yote hiyo,hajawahi kuwa wa pili.
Hekima na busara tokea shule alikuwa nazo.
Sio sigda ni kovu,nimesoma naye ni kipele flani kikubwa sema kimekaa sehemu ya sigda[emoji1] kweli kwenye clip anaelezea alichoenda kukifanya marekani anaonekana ana sigda mkuu
Juma mhina?
[emoji1] [emoji1] nilijua ni SIGDA mkuuSio sigda ni kovu,nimesoma naye ni kipele flani kikubwa sema kimekaa sehemu ya sigda
mkuu hili tango pori huyu kiduku mwaka 80 sidhani ata kama alikua kazaliwaDah! nimekumbuka mbali sana,miaka ya 1980 nilikuwa nchini korea nikichukua masomo fulani na huyu Rais wa sasa mnaemwita KIDUKU jamaa alikuwa mkorofi balaa alikuwa anatembea na bastola! jamaa alikuwa hana demu kabisa...Yeye ukikaa nae story zake ni vita tu.
Miaka ya 80 kiduku hajaanza shuleDah! nimekumbuka mbali sana,miaka ya 1980 nilikuwa nchini korea nikichukua masomo fulani na huyu Rais wa sasa mnaemwita KIDUKU jamaa alikuwa mkorofi balaa alikuwa anatembea na bastola! jamaa alikuwa hana demu kabisa...Yeye ukikaa nae story zake ni vita tu.
JombaaaaMimi nilisoma na Maria Nyerere![emoji28][emoji28][emoji28]
Wakati huo PM mtatiro alikuwa anatikisa nchi. Kikwete kawavumilia na kuwakuza wanasiasa wengi wanaovuma sasaMeya Jackob wa Ubungo,nimesoma nae UDSM kozi moja,alikuwa kinara wa migomo "MAKUNJI" YOOTE,alikuwa.mstar wa mbele kabisa wakat wa mgomo by then alikuwa na mwili wa mazoez.
Then Silinde as "Hall mate" pale Hall Two,nae alikuwa kinara wa migomo,mhamasishaji wa Revolution Square,alifukuzwafukuzwa sana chuo ila mwisho wa siku alihitimu.
Pia Mtatiro,huyu tulimkuta as Waziri Mkuu wa serikali ya DARUSO,ane alisimamia migomo kadhaa kabla hajamaliza mmoja wa waziri wake wa Mikopo alikuwa akiitwa "BUSH" alikuwa mtata ssanaaa,leo hii ni mwajiriwa wa UDSM na ndo msimamizi wa hostel mpya za JPM pale UDSM
Kweli kabisa.Wakati huo PM mtatiro alikuwa anatikisa nchi. Kikwete kawavumilia na kuwakuza wanasiasa wengi wanaovuma sasa
Wengine wanaingiza chuki binafsi kwa hao viongozi!Kabisa nimeona watu wachache tu ndo wameeleza ukweli
Duuhh, mzee shikamoo. 1967 - 1970, wewe ni mhenga.Rtd General Davis Mwamunyange......Mawenzi Secondary School:1967 to 1970.
Alikuwa mpole na kichwa yake imejaa vitu....ni namba moja tu miaka yote hiyo,hajawahi kuwa wa pili.
Hekima na busara tokea shule alikuwa nazo.
Huyu huyu wa ubungoHuyu wa kamati ya madili au nani
Swala alikuwa mkorofi tuWewe ulikuwa mlalafi ndo maana akakutia vitasa.