mlekulechoma
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 1,366
- 1,059
Secondary gani mkuu?mwaka gani?Nilisoma na Julius Mtatiro, alikuwa kiongozi wa chakula alafu mtata kweli yule mkurya. Alikuwa akimdate dada mmoja anaitwa Grace na ilijulikana hadi na walimu ila hata hakufanywa lolote. Sijui ndio alikuja kumuoa!!
Teh teh teh teeeeh! Shule ya sekondari mkuu.Secondary gani mkuu?mwaka gani?
Mtata sana yule jamaa, sikuwahi kumshuhudia akicheka.
Nadhani Musoma sekondari! Sina kumbukumbu nzuri......kabla ya muda wa msosi yeye alishafika jikoni na kujimegea dishi zima la nyama!au?[emoji12]Teh teh teh teeeeh! Shule ya sekondari mkuu.
Ahàaaaaaaaaaaaa. Aise mko vizuriKuna aliyesoma na huyu....
Samahani mkuu,hiyo kwenye avatar yako Ni aina gani ya gari?nimelupenda kinyama!Umesoma wapi ??wakati huna vyeti .
Habari
Kwa upande wangu nimebatika kusoma shule moja na ridhiwani kikwete
Huyu Mbona chuoni alikuwa kilaza tu?
Mkuu acha unaa,kwani huyu mzee alikuibia nini na mbona hujampelwka mahakamani? Si mlisema yeye ni fisadi mkuu na mkaanzisha mahakama ya mafisadimimi naiita kangaroo court mbona msimpeleke huko? Miaka nenda rudi,mnaiba wee bado mnamstigmatize huyu mzee,tumechoka na hayo maneno zenu.Mie nimesoma na Lowasa,alikua mwizi balaa!!
Wewe ulikuwa mlalafi ndo maana akakutia vitasa.***** nimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
Ha ha ha, Mtatiro alikuwa kiongozi wa Mambo ya Mikopo UD, jamaa alikuwa anapenda issue za migomo sana, yaani yeye utatuzi wake wa swala lolote ni mgomo tu.
Nafikiri hiyo mtatiro ukitoa harufi za mwishoni /IRO/ afu ukaweka /A/ inakuwa MTATA. Haya usiulze tena kwanini anapenda migomoMtata sana yule jamaa, sikuwahi kumshuhudia akicheka.
Mkuu anzisha Uzi Wako kuhusu Lowasa,hapa uzi huu unahusu mtu uliyesoma na kiongozi na vipi tabia yake akiwa shule enzi hizo,so mie nilisoma na Lowasa na alikua mwizi wa madawati na chaki!!Mkuu acha unaa,kwani huyu mzee alikuibia nini na mbona hujampelwka mahakamani? Si mlisema yeye ni fisadi mkuu na mkaanzisha mahakama ya mafisadimimi naiita kangaroo court mbona msimpeleke huko? Miaka nenda rudi,mnaiba wee bado mnamstigmatize huyu mzee,tumechoka na hayo maneno zenu.
Ngoja nikae kimya,naona unanitafutia kitu flani.Haya wewe endelea mkuu.Mkuu anzisha Uzi Wako kuhusu Lowasa,hapa uzi huu unahusu mtu uliyesoma na kiongozi na vipi tabia yake akiwa shule enzi hizo,so mie nilisoma na Lowasa na alikua mwizi wa madawati na chaki!!
Vema sana umechangia tukajua, SAWASAWAMm nimesoma shule aliyosoma Rais wa zanzibar Dr. Ali mhamed shein alikua mcheshi na mwanariadha wa kupigiwa mfano ktk mashindano,Maalim seif Sharif Hamad pia alikua mcheshi na mpenda watu Mh. Juma duni Haji, Mh. Fatma fereji na wengineo
Sawa sawa kabisa!!Ngoja nikae kimya,naona unanitafutia kitu flani.Haya wewe endelea mkuu.
Daah.....angekuuzia wewe, saa hizi ungekuwa Mh. Balozi !Mimi nilisoma na makonda lakini sio huyu mkuu wa mkoa, makonda alikuwa na akili sana darasani, chakushanganza eti alimuuzia vyeti Albert bashite