Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 5,986
Hiyo velar si ndio?Lowasa anarohonzuri saana .ungekuwa hata mpambe wake mpaka Leo ungemiliki kamahiyo .
Alafu unajua mimi na Lowasa ni damu damu?mie ndiye namchungia ng'ombe wake huku Monduli basi kama ulikua hujui!