Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,139
Hahahaaaa. Usihofu, nilitka nijue tu kama upo humu JF.Mkuu Dragoon nimekukosea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Usihofu, nilitka nijue tu kama upo humu JF.Mkuu Dragoon nimekukosea nini?
Ana kibamia alikua anaoga kwa kujificha.[emoji23] [emoji23] [emoji23]Je sifa yake
Taja jina shule basi brKuna kiongozi mmoja sitamtaja alikuwa anaoga amejificha kisa Ana ****** , sasa tukamvizia kwamba kwanini yeye huwa anajificha wakati wa kuoga?
Au anasubiri tumemaliza ndo anakuja kuoga,
Ndo tukagundua hayo,
Lakin bahati nzuri ilikuwa mtu social sana na anajiweza darasani na alikuwa anapendwa sana na walimu,
Salamu zuwafikie mtama,
Hiyo 1980 sio ndio alikua kwenye hatua za kuzaliwa huyo kidukuDah! nimekumbuka mbali sana,miaka ya 1980 nilikuwa nchini korea nikichukua masomo fulani na huyu Rais wa sasa mnaemwita KIDUKU jamaa alikuwa mkorofi balaa alikuwa anatembea na bastola! jamaa alikuwa hana demu kabisa...Yeye ukikaa nae story zake ni vita tu.
Wana ccm mmepata sehemu ya kudondoshea sumu zenu za chukiKweli aisee, halafu hata hatumiagi reasoning, yeye ni migomo tu.
Ndo maana hata siasa za huku mtaani zinamshinda.
mi taaluma yangu huwezi nunua cheti, kwenye taaluma yetu hatubaatishi.Daah.....angekuuzia wewe, saa hizi ungekuwa Mh. Balozi !
Brother umesoma Korea??? Mbona kiduku kasoma Switzerland?? hujanishawishi badoDah! nimekumbuka mbali sana,miaka ya 1980 nilikuwa nchini korea nikichukua masomo fulani na huyu Rais wa sasa mnaemwita KIDUKU jamaa alikuwa mkorofi balaa alikuwa anatembea na bastola! jamaa alikuwa hana demu kabisa...Yeye ukikaa nae story zake ni vita tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani
Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
Na ww umesoma na nani huko kajambanani!???Habari za wana jf naona ni vema
Tukiwa wanafunzi tuliamini kwamba labda kijana Fulani kutokana na usmartness wake atakuwa kiongozi Fulani wizarani, au anaweza kuwa kiongozi mkubwa baadae,
Kwa upande wangu nimebatika kusoma shule moja na ridhiwani kikwete
Huyu sifa zake ni kwamba
1. Alikuwa anajituma sana na ni mtu anaye weza sana masomo darasani,
2. Alikuwa Ana hekima ya kulelewa, haikuwa rahis kugundua kama ni mtoto wa waziri kipindi kile, na aliweza sana kuficha identify hiyo,
3. Sikuwahi kuona anapewa adhabu au kuadhibiwa kwa makosa ya siyo kuwa ya msingi. Kama anapata adhabu basi hiyo ilikuwa ya kulikumba darasa zima,
4. Kuna mwalimu mmoja alikuwa anatwambia kwamba siku akikuta waliofanya makosa na ridhiwani yumo basi alikuwa na kigugumizi hata kutoa adhabu, na kama anasamehe kundi basi ni kwa sababu kuna kijana mwenye adabu,
Nakumbuka siku moja tulikuwa na utani sana darasani tukafoji muhuri Fulani ili tuwatanie vijana tarehe moja April siku ya wajinga, tukaandika kuwa wamelipa Ada yote hawadaiwi, sasa kwa ujinga hatukujua kama ni kosa ,
Mimi nikawa nagawa zile receipt kwa wanafunzi tunaoona ni mazuzu, wakapeleka nyumbani lakin wajanja wajagundua tunawatania,wakazichana, sasa ziku ya kufukuza Ada ikafika akaja mwalimu maarufu kwa jina Walter wakaanza kusoma ambao hawajalipa Ada, kuna mdada mmoja mjinga mjinga kumbe Ile receipt kaiweka kwenye shati. Akasema nimeshalipiwa na ridhiwani na **** , msaala ukaanza tukaitwa mpaka kwenye ofis ya mkuu wa shule naye alikuwa mtata kweli, alivyoanza kutuadhibu mwalimu mmoja akaja kwakuwa alimuona ridhiwani pale akasema hata barua zile tulizokuwa tumeandikiwa kufukuzwa wakakaa kujadili. Wakatusamehe ila viboko tukapokea, na mwalimu akatwambia kuwa mmesamehewa kisa huyu,
Si kwamba kwa kuwa ni mtoto wa waziri bali nidhamu yake
Wakati huo tulikuwa na watoto wa vigogo wengi wanafukuzwa tu,
Hivyo tunaomba waliosoma na Makonda,
Waliosoma ma magufuli
Waliosoma na kikwete
Waliosoma na Nape
Au kiongozi yeyote weka hapa na tabia yake ya utotoni
Unamaanisha John huyu huyu tunayemuita Yohana?Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani
Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
Hahahahah nimeshindwa kujizuia kucheka kwa sauti...Dah kumbe kufoji mmeanza kitambo Lumumba. Anyway mi nilisoma na kingunge, alikuwa anakuja na ngozi ya mkia wa mbuzi siku ya mtihani ili kupigia mstari kwenye mtihani mana alikuwa ameinyoosha ngozi ile na kuikausha kama rula,
Huyu huyu wa R O M AUnamaanisha John huyu huyu tunayemuita Yohana?
Wee mtoto wizi sio mzuriNa ww umesoma na nani huko kajambanani!???
Sio yeye ni Jamaa alikuwa anaitwa Edwin Mulokozi wakibadilishana na Nathan ( sikumbuki jina lake la mwisho) walikuwa wanabadilishana hizo nafasi ya pili na ya tatu.Heshima kwake kabisa mungu amsaidie aendeleze hekima hiyo
Na aliyekuwa anakuwa wapili ni wewe baba ?
[emoji23] [emoji23]Alafu kiduku kazaliwa mwaka 1983
kaza
Brother mbona hii story yako km unasaka Mboga hivi upande wapili wa shiling[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hii mbinu ya kugundua identity za watu! Ngastuka