Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hapana, mie dada yako.Ha ha ha ha uwe Zari tu kwan shida gan Boss Lady
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, mie dada yako.Ha ha ha ha uwe Zari tu kwan shida gan Boss Lady
Ni Rais wa nchi ya Puerto Rico kwa sasahuu uzi unahusu watu waliosoma na viongozi mbalimbali, huyo juma maharage ni kiongozi gani sasa!!
Pumbavu kwani mange ni kiongozi??? OK nimekumbuka msemaji wa CHADEMAMimi nilisoma na mange nilikuwa nacheza nae karata
Kamanda mpya wa traffic. Ka Ma TaVema sana ni kamanda nani, mpunga au nani
Mwaka uliokuwa kiranja wa chakula.Secondary gani mkuu?mwaka gani?
Musoma Sec Alliance school enzi hizo. Mkuu alikuwa Jaluo mmoja mrefu TienoNadhani Musoma sekondari! Sina kumbukumbu nzuri......kabla ya muda wa msosi yeye alishafika jikoni na kujimegea dishi zima la nyama!au?[emoji12]
Shuleni secondary. Alikuwa. Ilboru.Mkuu acha unaa,kwani huyu mzee alikuibia nini na mbona hujampelwka mahakamani? Si mlisema yeye ni fisadi mkuu na mkaanzisha mahakama ya mafisadimimi naiita kangaroo court mbona msimpeleke huko? Miaka nenda rudi,mnaiba wee bado mnamstigmatize huyu mzee,tumechoka na hayo maneno zenu.
Julius ( mkristo) mtatiro ( Mkurya) Mbona ana sigda pajini? Alinunua jina. Jina la katikati la kike ( nyumba ntobu)Nafikiri hiyo mtatiro ukitoa harufi za mwishoni /IRO/ afu ukaweka /A/ inakuwa MTATA. Haya usiulze tena kwanini anapenda migomo
[emoji115] [emoji115] [emoji115] ndo maana ake nn mkuuUnamaanisha mboww
Mlilala darasani? Mbwiga.Mi nimesoma na DAB alikua kikojozi Darasani mpaka la Saba
Mkuu wa mkoa wa Njombe form five Tanga. Akapata yaiNamsubiri aliyesoma na "mkuu wa mkoa" atoe ushuhuda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwamunyange was the bestRtd General Davis Mwamunyange......Mawenzi Secondary School:1967 to 1970.
Alikuwa mpole na kichwa yake imejaa vitu....ni namba moja tu miaka yote hiyo,hajawahi kuwa wa pili.
Hekima na busara tokea shule alikuwa nazo.
We mkweli"83% ya wachangiaji si wakweli..."
Je sifa yakeMie nilisoma na Nape Nnauye jamaa alikua kilaza sana; yeye kila homework ni kucopy na kupaste kutoka kwa mabest wake. Halafu jamaa alikua kwa kula ni balaa, anaweza maliza ugali wa mtu tatu bila tatizo lolote. Hilo umbo lake sio afya ni kula.