Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Shikamoo Mkubwa
 
Mara paaaap! Magu kasoma na bashite,nani wa kumshuhudia mwenzie?
 
Nilisoma na Mkurugenzi wa TANESCO katika shule sekondari Azania. Jamaa alikuwa mpole, kichwa kizuri kwa masomo, mchagamfu na mwenye kutoa msaada muda wowote kwa mhitaji. Hand writing yake ilikuwa nzuri sana. Ni kati ya majiniasi tuliokuwa nao wakati ule.
 
Ahahahaha watu ka ao ni sheedah loh umenikumbush mbal
 
Deo Filikunjombe(RIP) John Nchimbi,Kichele(tra) wapo kama walivyo sasa ila more advanced.
Pia nimesoma na majambazi napaswa kuwataja maana nao ni viongozi katika himaya zao?japo wengi marehemu sasa na marehemu hatajwi kwa mabaya
Mkuu, ulikuwa Forest Hill Moro? Nilisoma F5 & 6 na Filikunjonbe, akiitwa Deo Haule. Alijiunga nasi akitikea Seminari, jamaa alikuwa mpole sana. Head prefect wetu alikuwa John Nchimbi, jamaa alikuwa mwembamba mno, kweli duniani hakuna mtu mwembamba ila shida tu.

Vv
 
Rtd General Davis Mwamunyange......Mawenzi Secondary School:1967 to 1970.
Alikuwa mpole na kichwa yake imejaa vitu....ni namba moja tu miaka yote hiyo,hajawahi kuwa wa pili.
Hekima na busara tokea shule alikuwa nazo.
Duh hata mama yangu hajazaliwa!! Shikamoo bibi...
 
Uzi huu umeanzishwa kwa lengo zuri tu la kushare tabia ama sifa za viongozi wetu kwa wale waliobahatika kusoma nao ila kuna baadhi ya wadau wanauharibu kwa kukebehi na kuandika uongo
Ni aina ya ujinga uliojitokeza hivi karibuni mkuu uvumilie tu mi nimechagua kuwasoma walioandika kwa umakini wengine unaruka tu maana bashite sijui John na mengine wala sikuona kama ni sehem ya uzi anyway nimemaliza juzi sana so wengi niliosoma nao bado tuko tunapambana sku moja tutasimulia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapa umetudanganya jamaa kazaliwa 1984. sasa kutoka 1980 alienda shule na miaka 4 na bastola alitembea nayo vipi
 
Nilisoma na JPM jamaa alikuwa anakula sana maharage

Mwalimu wa hesabu akipita kukagua homework jamaa anajibana kwa mfumo wa kifutu anatoa kitu hicho mwalimu anarudi mwenyewe hapiti tena upande huo

Sijui kwa sasa Juma Maharage yuko wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Chai yako sukari imekolea sana hasa huko mwishoni
 
Reactions: SDG
Ilikuwa mwaka gani kaka?
 
Kiukweli Ummy namchukia kama mkasi wa kukatia govi!

Huyu mama mnafiki alafu haogopi Mungu,

Mwongo kama nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…