Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Uzi huu ni mzuri kwa kutujuza vitu na maeneo mbalimbali ya mji wa Singida.Inapendeza sana,endelea kudadavu.Nitarudi baadae kuongezea niliyoyaona hapo Singida nilipolala kwa siku 6 pale Meatu Hoteli karibu na Mbacho/Kaumba/Madenyaki quest/hoteli.

Ila mji una maduka ya vipodozi mengi kuliko watumiaji wa bidhaa hizo.Ukiangalia kwa umakini watu wa huko ni weupe na hakuna dalili kama wanatumia vipodozi.Vinanunuliwa kweli au ni mapambo kutokana na kuigana biashara?Hata maduka ya nguo za ready made kutoka China yapo kibao lakini ukiangalia watu wanavaa simpo tu mitumba.Sasa hayo maduka wateja wake ni akina nani?

Inanikumbuka wakati nikiishi mitaa ya Kirumba Mwanza mdau akinunua gari aina ya Vitz/Noah/Spacio baada ya muda mfupi kwa atakayezinyaka pesa unakuta mtaa mzima umejaa vitz/noah.

Kiukweli kwa sasa Mji wa Singida unapendeza/unaendelea/unavutia tofauti na miji kama Lindi,Mtwara,Kigoma au Shinyanga iliyodumaa kwa kumezwa na Kahama/Mwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa hata kama hana hela ila ni smart sana ila sasa kitandani wanajua kutukomesha wanyaturu wamejaliwa mm siwataki kabisaa mtu ana bololoo kama mkono wa mtoto agrrrrr

Sent using Jamii Forums mobile app
aiyaaaaaa hao ni wa kule itigi,ulyampiti,ikungi ila sisi wa DAR mbona hatuna fujo hizo tuko kama watanga TUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…