Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†
 
Sikupata Mshua anaependa kabila lake maskini ya Mungu nikiendaga ULYAMPITI natoa toa tu machoooo hadi leo na ukubwa huuu najua Chumvi tu "munyuuuu" sjui nmepatia
 
sema Huko singida wadada wa huko Wazuri jmn ukiagiza House girl SINGIDA mkeo ajipange...Haji mbaya unaambiwa
 
Sikupata Mshua anaependa kabila lake maskini ya Mungu nikiendaga ULYAMPITI natoa toa tu machoooo hadi leo na ukubwa huuu najua Chumvi tu "munyuuuu" sjui nmepatia
Maziwa=mayaa/mahungaa
Mlenda=ikhonda
 
Nimeshindwa Mlenda tu BWANA hata kwa viboko hunilishi...sema Wadada wa DAR wakikutana na Mkaka wa singida PURE alotoka kule show yake si ya kitoto maana vyakula vya kule Hartari tupuuuuuu...Hamnaga mnyaturu ana ukosefu wa Nguvu za Kiume HAIPO HIYO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…