Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Nilipita Singida wakati kulikuwa na madisco mawili hivi..yote yakiwa karibu karibu... Utamaduni Hall na Polisi..
Cc Demiss
FB_IMG_1553102052167.jpeg
 
Sikupata Mshua anaependa kabila lake maskini ya Mungu nikiendaga ULYAMPITI natoa toa tu machoooo hadi leo na ukubwa huuu najua Chumvi tu "munyuuuu" sjui nmepatia
 
sema Huko singida wadada wa huko Wazuri jmn ukiagiza House girl SINGIDA mkeo ajipange...Haji mbaya unaambiwa
 
Sikupata Mshua anaependa kabila lake maskini ya Mungu nikiendaga ULYAMPITI natoa toa tu machoooo hadi leo na ukubwa huuu najua Chumvi tu "munyuuuu" sjui nmepatia
Maziwa=mayaa/mahungaa
Mlenda=ikhonda
 
Nimeshindwa Mlenda tu BWANA hata kwa viboko hunilishi...sema Wadada wa DAR wakikutana na Mkaka wa singida PURE alotoka kule show yake si ya kitoto maana vyakula vya kule Hartari tupuuuuuu...Hamnaga mnyaturu ana ukosefu wa Nguvu za Kiume HAIPO HIYO
 
Back
Top Bottom