ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #101
Asante SanaNimeshindwa Mlenda tu BWANA hata kwa viboko hunilishi...sema Wadada wa DAR wakikutana na Mkaka wa singida PURE alotoka kule show yake si ya kitoto maana vyakula vya kule Hartari tupuuuuuu...Hamnaga mnyaturu ana ukosefu wa Nguvu za Kiume HAIPO HIYO
bIBI ANAWATIMUAGA NNJE AKIWASKIA hawaogop sjui kwann...
Balla lingie hiliAsante Sana
View attachment 1050064
Mayai ya kienyeji..wewe tuBalla lingie hili
Sasa hivi ndo imerudi kwa kishindo.kuna Malaya pale kuliko sehemu yoyote mjini
Wameathirika wale hivi yule baba sijui anaitwa nan alikuwa tajiri anapenda totoz weupe ana duka karibu na lile jiwe kubwa alikuwa anaitwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sam mayuni?Wameathirika wale hivi yule baba sijui anaitwa nan alikuwa tajiri anapenda totoz weupe ana duka karibu na lile jiwe kubwa alikuwa anaitwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale tulikuwa tunatalii KBH bila kusahau sky way night club madereva maroli kama woteee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli siwezi kukudanganya hatuna vivutio vingi
Geographical tumepitiwa na bonde la ufa kutokea manyara linapita bondeni mpk kule mgori..
Natural attraction sio nyingi nachojua Kuna mapori ya hifadhi mbuga inaipita karibu na mpk wa kuingia mbeya huko wilayani manyoni..
Water bodies Ni chache kwa bonde la Kati internal drainage hakuna mto unaotiririsha maji mwaka mzima yote Ni seasonal kasoro miwili TU river kou ambao upo upande wa mbulu..tuna mabwawa mawili mjini Kati singidani na kindai ambayo hayatoi samaki wengi..
Mlima hanang upo kateshi ila view yake nzuri ukiwa sgd unaiona
Wanyama tuna fisi wapo wengi ndo ambao nimewaona Sana nje ya mji kidogo..mji umezungukwa na majabali makubwa wenyeji tunayaita n'gongo
Warangi mnaitwa huku
Weka na Matogo!
Nawatambua Sana mkuu pande zenu Ni kule karibu na hdyom.sanasana Mimi nimeishia mjini Kati tu na singida vijijini..kwingine huko Mara Moja Mara mojaWeka na Matogo!
Ingawa Wahadzabe hujatuunganisha kama sehemu ya wakaazi wa Mkoa wa Singida Wilaya ya Mkalama!
Huko ndo kwetu, tupo na Wanyisanzu, Wamang'ati na baadhi ya maeneo WambuluNawatambua Sana mkuu pande zenu Ni kule karibu na hdyom.sanasana Mimi nimeishia mjini Kati tu na singida vijijini..kwingine huko Mara Moja Mara moja
Totoz wageni tusipate tabuUnaulizia machimbo gani fafanua nikufafanulie.neni machimbo Lina maana nyingi
Machimbo ya dhabab?
Totozi?
Ganja?
Kwa jero wanakubali...?Hapo sky way club ni pakisure sana utadhani sio singida, tumepita sana hapo sidhani kama kuna dere wa lori ambae ajapita hapo kulikua na watoto wa chuo wa kumwaga ni kushika mkono na kuzama nae kwenye cabin.
Sent using Jamii Forums mobile app