Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Nimeshindwa Mlenda tu BWANA hata kwa viboko hunilishi...sema Wadada wa DAR wakikutana na Mkaka wa singida PURE alotoka kule show yake si ya kitoto maana vyakula vya kule Hartari tupuuuuuu...Hamnaga mnyaturu ana ukosefu wa Nguvu za Kiume HAIPO HIYO
Asante Sana
FB_IMG_1553102088338.jpeg
 
Hapo sky way club ni pakisure sana utadhani sio singida, tumepita sana hapo sidhani kama kuna dere wa lori ambae ajapita hapo kulikua na watoto wa chuo wa kumwaga ni kushika mkono na kuzama nae kwenye cabin.
Wale tulikuwa tunatalii KBH bila kusahau sky way night club madereva maroli kama woteee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli siwezi kukudanganya hatuna vivutio vingi
Geographical tumepitiwa na bonde la ufa kutokea manyara linapita bondeni mpk kule mgori..
Natural attraction sio nyingi nachojua Kuna mapori ya hifadhi mbuga inaipita karibu na mpk wa kuingia mbeya huko wilayani manyoni..
Water bodies Ni chache kwa bonde la Kati internal drainage hakuna mto unaotiririsha maji mwaka mzima yote Ni seasonal kasoro miwili TU river kou ambao upo upande wa mbulu..tuna mabwawa mawili mjini Kati singidani na kindai ambayo hayatoi samaki wengi..
Mlima hanang upo kateshi ila view yake nzuri ukiwa sgd unaiona
Wanyama tuna fisi wapo wengi ndo ambao nimewaona Sana nje ya mji kidogo..mji umezungukwa na majabali makubwa wenyeji tunayaita n'gongo

Ahsante.
 
Weka na Matogo!

Ingawa Wahadzabe hujatuunganisha kama sehemu ya wakaazi wa Mkoa wa Singida Wilaya ya Mkalama!
Nawatambua Sana mkuu pande zenu Ni kule karibu na hdyom.sanasana Mimi nimeishia mjini Kati tu na singida vijijini..kwingine huko Mara Moja Mara moja
 
Back
Top Bottom