Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CR7 ndio takataka ganii???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado mnaendelea kumtukuza Messi?
Poleniiiiiii
Habari ya dunia ni CR7 baby[emoji108]
Kwan we unamjua yupii????Messi yupi?
Mkwepa kodi.Kwan we unamjua yupii????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado mnaendelea kumtukuza Messi?
Poleniiiiiii
Habari ya dunia ni CR7 baby[emoji108]
Ni mess kweli mana anakwepa sana kodi.Yessssssssss the king MessiDona
[emoji35] [emoji35] [emoji35] we ndio umemjulia kwa sifa hyo????acha mambo ya ajabuu na uongooMkwepa kodi.
Uongo upi? Kwahiyo wamemsingizia kwa swala la kukwepa kodi? Kama ana sifa nyingine unaijua wewe....mie naijua sifa moja tu "MKWEPA KODI"[emoji35] [emoji35] [emoji35] we ndio umemjulia kwa sifa hyo????acha mambo ya ajabuu na uongoo
Messi ni mfalme wa mpiraUongo upi? Kwahiyo wamemsingizia kwa swala la kukwepa kodi? Kama ana sifa nyingine unaijua wewe....mie naijua sifa moja tu "MKWEPA KODI"
Teh teh labda mpira wa kukwepa kodi.Messi ni mfalme wa mpira
Hv kwann mashabiki wa real Madrid mnamchukia messi???Teh teh labda mpira wa kukwepa kodi.
Nyie mnampenda Cr7?Hv kwann mashabiki wa real Madrid mnamchukia messi???
Cr7 ndio chakula gani hchoo[emoji15] [emoji15]Nyie mnampenda Cr7?
Kwa kauli hii basi sina haja ya kujibu swali lako hapo juu.Cr7 ndio chakula gani hchoo[emoji15] [emoji15]
mkuu sio WASHABIKI,NI MASHABIKI...Lionel messi
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Tatzo unajifanya unampenda cr7 kama ndugu yakooKwa kauli hii basi sina haja ya kujibu swali lako hapo juu.
Kwani kuna tatizo?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Tatzo unajifanya unampenda cr7 kama ndugu yakoo
Kumbe na ww ndio walewale???Kwani kuna tatizo?
CR7 baby [emoji7][emoji7][emoji7]
Kwani kuna tatizo?Kumbe na ww ndio walewale???