ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
I love you too babe![emoji7]Babe unanicheka[emoji85][emoji85][emoji85][emoji24]
Ona ulivyoharibu uzi wa watu[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I love you too babe![emoji7]Babe unanicheka[emoji85][emoji85][emoji85][emoji24]
Utaipata kesho... punguza waka...Una utani wa ngumi wew
Haya nambie dawa yangu ni nini?
Kwaajili yako nitaharibu hata uzi wa mello[emoji8][emoji8][emoji8]I love you too babe![emoji7]
Ona ulivyoharibu uzi wa watu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwaajili yako nitaharibu hata uzi wa mello[emoji8][emoji8][emoji8]
Nilikwambia usiniudhi lakiniUtaipata kesho... punguza waka...
Naakudhi ili uni miss vizuri kama title ya thread...Nilikwambia usiniudhi lakini
Au untaka niwake
Acha tuSio kwa mpoteo ule wa ghafla ghafla kila mahali.
Sunday Mollel?Basi bana miaka hiyo ya ujanani nilitokewa kupendwa na kijana Sunday😂😂😂Sundaaay....🤣🤣🤣🤣 Ila nimefurahi kuongea nae jioni ya leo..tukacheka saanaaa🤗
Nimempenda ulivyo muelezea,Alikuwa rafiki mzuri.🤣🤣🤣🤣Zai alikua anqzingua..ingawa alinifunza
HapanaSunday Mollel?
Huyo zai hata Kama ukionana nae ndani ya Muda mchache ameshakuzoea na lazima utammiss tu uwepo wake..zai😘😘Nimempenda ulivyo muelezea,Alikuwa rafiki mzuri.
Hakika ukiwa na tabia njema,utakumbukwa.Huyo zai hata Kama ukionana nae ndani ya Muda mchache ameshakuzoea na lazima utammiss tu uwepo wake..zai😘😘
KwakweliHakika ukiwa na tabia njema,utakumbukwa.
Pole sana, Sheeda atakua anakukumbuka pia labda tu hana namna ya kukupataSheeda popote ulipo nakukumbuka saana ilikuwa 2014 nimetoka kula kichapo cha mapenzi kutoka demu wangu wa kwanza
Nilitoroka nyumbani na kukimbilia morogoro kupunguza machungu
Mungu si athumani akanikutanisha na mtoto sheeda tulianza kama masihara ila tukajikuta tumezama mimi ni yule nilikuwa napita asubuhi na jion karibu na ofisi yenu nikiwa naenda kibaruani na kurudi gheto
Kutokana na upole niliokuwa nao hukusita kumtuma dogo kmng kuwa umetokea kunipenda sikuleta ugumu kutokana ulikuwa moyoni pia na nilishindwa kukuingia kutokana na hadhi ya familia yenu ukawa umenirahishishia
Nilikupa story ya maumivu yangu na kwa kweli ulifeel vibaya sana ukaniahidi utaniponya majeraha,ulitimiza ahadi yako sheeda mpaka naondoka ni kwasababu wazazi wako walikuhamisha na kuminya mawasiliano popote ulipo sheeda mimi ni yule ulipenda kuniita wifi jina ambalo tulikuwa tunaitana na shemeji angu
Sijui ulipo na pia najua sio mtu wamitandao hupendi showoff popote ulipo nakutakia maisha mema moyo wangu haupo kwako tena ila umeniachia kumbukumbu ambazo nashindwa zifuta na wema ulionifanyia
Nipo hapa dea.