Hii hapana💔
We kila kitu bandia! Kwani ndio inaondoa utamu?makalio bandia hayo mkuu.
toto si ndo hili!!
Hata sijayaona🤣🤣makalio bandia hayo mkuu.
toto toto 100%toto si ndo hili!!
Wanawake msipotambua nafasi yenu ya thamani kwenye jamii,We kila kitu bandia! Kwani ndio inaondoa utamu?
Ila mkuu wewe umejuaje kama limeongezewa hapo, mbona mimi naona natural shape kabisa.Wanawake msipotambua nafasi yenu ya thamani kwenye jamii,
Mkaendelea kuharibu miili yenu, na kutukuza unene kwa kigezo cha kufurahisha wanaume wapumbavu,
Mtateseka sana.
Pole.Wanawake msipotambua nafasi yenu ya thamani kwenye jamii,
Mkaendelea kuharibu miili yenu, na kutukuza unene kwa kigezo cha kufurahisha wanaume wapumbavu,
Mtateseka sana.
hilo kalio sio la kawaida.Ila mkuu wewe umejuaje kama limeongezewa hapo, mbona mimi naona natural shape kabisa.
Unawaonea wanawake. Wembamba hakijawahi kuwa kigezo cha mwanamke wa Kiafrika. Hicho ni kigezo cha wazungu huko ambako ukimbaumbau unaabudiwa sana. Kwetu huku mwanamke halisi wa Kiafrica ana/lipaswa kuwa angalau na kamwili mwili hivi na siyo hii mifupa yenu mnayoshabikia hii. Na wanawake wetu hawakuwa na shida zo zote za kiafya kabla ya ujio wa haya mavyakula yenu feki haya na maisha ya kubweteka.Wanawake msipotambua nafasi yenu ya thamani kwenye jamii,
Mkaendelea kuharibu miili yenu, na kutukuza unene kwa kigezo cha kufurahisha wanaume wapumbavu,
Mtateseka sana.
Kumbe shida yako ni unene, wewe penda mbaumbau mkuu, sisi ni madude ya namna hiyo ndio yanaamsha mshipa. Hata hivyo hiyo sio shape ya unene, mwili standard kabisa huo.hilo kalio sio la kawaida.
hata kama halijaongezwa huo unene una hasara kuliko faida.
tafuta picha za wanawake wa kiafrika kabla ya ukoloni, ni wachache sana walikuwa na maumbile haya, labda wale waliokuwa na nyadhifa za juu.Unawaonea wanawake. Wembamba hakijawahi kuwa kigezo cha mwanamke wa Kiafrika. Hicho ni kigezo cha wazungu huko ambako ukimbaumbau unaabudiwa sana. Kwetu huku mwanamke halisi wa Kiafrica ana/lipaswa kuwa angalau na kamwili mwili hivi na siyo hii mifupa yenu mnayoshabikia hii. Na wanawake wetu hawakuwa na shida zo zote za kiafya kabla ya ujio wa haya mavyakula yenu feki haya na maisha ya kubweteka.
Na kwa mtazamo wako ni kwamba kila mwanaume anayependa wanawake wenye maumbo ya kibantu ni mpumbavu? Such an imbecilic and myopic generalization especially coming from a smart and promising young man like you 😒
View attachment 3232955
Umejuaje kuwa ni shoga?Utamu wote huo, ila huyu kaka kaamua kua shoga🙌View attachment 3232892
Nenda ig utamkuta.Umejuaje kuwa ni shoga?
tafuta picha za wanawake wa kiafrika kabla ya ukoloni, ni wachache sana walikuwa na maumbile haya, labda wale waliokuwa na nyadhifa za juu.
wanaume wanaowapenda sio wapumbavu, hapo nimekosea. kila mtu ana haki ya kupendwa.
najua nikiandika hivi naumiza watu, lakini hii ni changamoto, na kwa nini kusema ukweli iwe kosa?
wanawake hivi sasa wanaongoza kwa unene na viriba tumbo.