Nakuelewa sana Mzee wangu.
Na kama ulivyosema jana inawezekana kula wali kuku sio issue. Kama tunakula kuku kutoka mpaka Brazil kwa elfu 5000/-hatushindwi kuwazalisha wenyewe.
Inawezekana pia kilo ya mchele ikauzwa sh 400/- Kama mbuga nzuri za kulima mpunga toka Magu mpaka Kwimba, Misungwi mpaka salawe mahembe,mwakitolyo, kagongwa.mpyagula loya mpaka nyahua. Ugalla majimoto mpunze mpaka Ubaruku. ukiwawezesha vijana maeneo haya kilo ya mchele ni sh 400/-
Nikushauri Umchague Jummane Kishimba awe waziri wako mkuu.
Tunatoboa.