dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahhahahaView attachment 1534759
Au kusoma hii kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahhahahaView attachment 1534759
Au kusoma hii kitu
usimchukulie poa ni mwanataasisi mbobezi kabisa zaidi ya membeNingependa magu ampe hata kacheo kidogo tuone utendaji wake,,, anaonekana hamnazo
Usimchukulie poa ni mwanataasisi mbobezi kabisa zaidi ya MembeNingependa magu ampe hata kacheo kidogo tuone utendaji wake,,, anaonekana hamnazo
Mbona hii inafundishwa stillKutoka kwa hashimu rungwe anasema
Muda tuliopoteza shuleni kusoma LOGARITHM bora tungefundishwa kubet hahaha huyu mzee ana mambo kweli kweli
Lakini mzee ana hoja nzito sana ukichukulia juujuu unaweza sema ni upumbavu tu vijana wengi sana wamekuwa na uraibu wa kamari hizi za betting hii ni kwa sababu ya wengi ni jobles
Alifahamu ameshinda kwakua waliompa pole ni wengi kuliko kura alizopata.Huyu si ndio alidai alishinda Urais 2015 wakamuibia?
Mwaka huu nalinda kura zake
Ná betting ni calculations sasa Kheri tungefundishwa hizo calculations za betting kuliko logarithmIla sio siri shule tunapotezeana muda. Ngoja mimi nikuze miradi yangu watakaoridhi ni wanangu. Baada ya 4m4 ni kuingia mzigoni.
Hoja yake ni kuwa vijana wamesoma ila ajira hakuna wanaishia kuweka mikeka!Ukiangalia kwa juu juu utaona anachekesha!Mzee hajasoma electronics kutengeneza spika inakupasa kitaalamu kutumia logarithm kuweza kujua unataka sauti ya spika isafiri umbali gani
Rais Lissu atanyooshaHoja yake ni kuwa vijana wamesoma ila ajira hakuna wanaishia kuweka mikeka!Ukiangalia kwa juu juu utaona anachekesha!
Hoja yake ni kuwa vijana wamesoma ila ajira hakuna wanaishia kuweka mikeka!Ukiangalia kwa juu juu utaona anachekesha!
Anaelewa kwamba kuna watu wanabet kwa kutumia logarithms na wanatoboa?Kutoka kwa hashimu rungwe anasema
Muda tuliopoteza shuleni kusoma LOGARITHM bora tungefundishwa kubet hahaha huyu mzee ana mambo kweli kweli
Lakini mzee ana hoja nzito sana ukichukulia juujuu unaweza sema ni upumbavu tu vijana wengi sana wamekuwa na uraibu wa kamari hizi za betting hii ni kwa sababu ya wengi ni jobles