Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaweza kukuta hiyo hatua mwenzako ameshaivukaHiyo milioni moja ya fomu angetumia kuboresha nyumba yake anayoishi ingekuwa poa sana.
Sidhaniunaweza kukuta hiyo hatua mwenzako ameshaivuka
weka picha tuone iyo nyumba anayo ishiHiyo milioni moja ya fomu angetumia kuboresha nyumba yake anayoishi ingekuwa poa sana.
unamfahamu kiundani?Sidhani
Ni kosa kisheria kupiga picha nyumba ya mtu bila idhini yake.weka picha tuone iyo nyumba anayo ishi
Hamjui rungwe anaongea tuu, rungwe hana shida hata kidogo, huyo alishakua na pesa toka kitamba mpka serikali ya mkapa ikamletea figusifigusi hao ndio watz wa kwanza kufungua yard za magari bongo ikiitwa bahari motors maeneo ya makumbusho na mpka leo hayo majengo yapo na ni mali yake, huyo hana njaa hata kidogo.unamfahamu kiundani?
Hiyo milioni moja ya fomu angetumia kuboresha nyumba yake anayoishi ingekuwa poa sana.
Makazi ni muhimuUnampima kwa nyumba
Kuna watu kwa kujipa moyo,hatari sana.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji116]View attachment 1536103
pia nikosa vilele kisheria kuisema nyumba ya MTU bila idhini yakeNi kosa kisheria kupiga picha nyumba ya mtu bila idhini yake.
Nipeleke mahakamanipia nikosa vilele kisheria kuisema nyumba ya MTU bila idhini yake