Special Thread: Tujikumbushe matukio ya zamani ya wasanii wa Bongo Fleva

Aliyemuua steve 2k ni producer wake anaitwa Castro Ponela, alitoka kwa msamaha wa rais mwaka juzi kama sikosei.
Huyo wa Arusha ni Father Nelly mzee wa ushanta na nini dhambi kwa mwenye dhiki.
 
Ehhh K basil...
 
Alishakuwa mwanajeshi pia alifukuzwa
 
Hahahhahah umenikumbusha kuna wajinga walikwapua barua iliyokua inasomwa kwenye nyimbo ya barua ya daz nundaz pale kwenye shoo diamond
 
Hiyo ilitisha sana halafu hayo mabifu yanilinogesha sana mziki enzi hizo Eti siku hizi bifu ni insta pekee ake daaaa nazitamani hizo Enzi
Ahhhh kweli bhana.. mi nilikua team east coast... shoo ikiwa diamond mpeto... cku ikihamia temeke kina gk wanahenya hatari..!!!
 
Wanaokwenda jela sio wote wanahatia wale wauni soo
 
Hahahhahah umenikumbusha kuna wajinga walikwapua barua iliyokua inasomwa kwenye nyimbo ya barua ya daz nundaz pale kwenye shoo diamond


Daz Nundaz enzi zao walikuwa wakipanda stage wanatisha! Nilikuwa nawakubali sana kwenye show tena kipindi hiyo walikuwa machalii tu. Kweli ngada noma.
 
kwenye mkali wa rymes nakumbuka inspector harun aliingia kavaa yeboyebo na ajisifia ile mbaya eti mkali wa pamba, kipindi hicho yebo ndo yebo kweli bila 15000 huchukui!
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
uko vzr wewee...mzee mwenzangu
 
Hilo shindano lilifanyikaga diamond jubilee kiingilio ilikuwa buku mbili ila mwisho wa shindano ngoma walitoka droo ila yote Tisa kumi shindano LA kumtafuta mfalme wa rymes sijui ni wangapi wanaokumbuka
Alishinda Afande Select
 
Hahahshs tena akasema live kwenye redio mi cjaliwa kiboga wanaipakazia.... nadhani ndo akatoa ule wimbo wa hunifahamu
hunifahamu aliutoa baada ya skendo ya demu,kama siyo Dodoma basi Moro
alikopa hakulipa dully akawa anapiga chenga
 
Reactions: BAK
Ahhhh kweli bhana.. mi nilikua team east coast... shoo ikiwa diamond mpeto... cku ikihamia temeke kina gk wanahenya hatari..!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] acha tu yaani kuna siku TPA walipopolewa pale acha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…