Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
- Thread starter
-
- #21
Daah kalapina alikuwaga mtata sana ila mwisho wa maneno ilikuwa dudubaya alivyompiga Mr.nice hadii akamvunja kiuonoo.Kalapina kuwapiga bitt NAKO 2 NAKO Mpaka wakaikimbia DAR na kurudi ARUSHA
Nilikuwa bado koromije ndugu.watu tumetoka mbaliBado ulikuwa Koromije?
Duu najua Mkuu KIPINDI hikoo ukisikia bongo dar es salaam ilikuwa unachanganyikiwa kinomaDuuh! Kipind hicho bado sijaja mjini wadau
Binafsi simkumbuki, ila kuna msanii alimtaja "rap" kwenye wimbo wa MCHIZI WANGU REMIXDaah kalapina alikuwaga mtata sana ila mwisho wa maneno ilikuwa dudubaya alivyompiga Mr.nice hadii akamvunja kiuonoo.
Bila kusahau kuna msanii kwa jina Steve to k alipigwagaaa kisu hadi kifoo sijui wangapi wanamkumbuka
Sio poa siku unaenda Dar unaona usiku hauend unataman uanze safar af watakukuta njian.maisha safar ndefuuuDuu najua Mkuu KIPINDI hikoo ukisikia bongo dar es salaam ilikuwa unachanganyikiwa kinoma
jamaa alikaa kimchelemchele. kuna john mjema yeye alijikill.Daah kalapina alikuwaga mtata sana ila mwisho wa maneno ilikuwa dudubaya alivyompiga Mr.nice hadii akamvunja kiuonoo.
Bila kusahau kuna msanii kwa jina Steve to k alipigwagaaa kisu hadi kifoo sijui wangapi wanamkumbuka
Mfalme was rymes naikumbuka maana bro wangu alikuwa anadoma sana magazeti ya udaku, aisee niko darasa LA 6 kweli maisha ni hatuaHilo shindano lilifanyikaga diamond jubilee kiingilio ilikuwa buku mbili ila mwisho wa shindano ngoma walitoka droo ila yote Tisa kumi shindano LA kumtafuta mfalme wa rymes sijui ni wangapi wanaokumbuka
Yeah aisee lile kundi lao alikuwepo Steve k alikuwepo john mjema na spider man ,jamaa alikaa kimchelemchele. kuna john mjema yeye alijikill.
Mkuu hiyo ilikuwaga 2003 mi nakumbuka nilikuwaga fom 3Mfalme was rymes naikumbuka maana bro wangu alikuwa anadoma sana magazeti ya udaku, aisee niko darasa LA 6 kweli maisha ni hatua
Dah jamaa walimkodia abood nzima na genge lake,tulipishana nao maeneo ya mizani kibaha nikitokea zangu shule!Afandel mfalme wa mashairi ya darubini kali
kipindi tupo kijijini likizo ukipata nafsi ya kuja dar ata wiki tu unaongea kiswahili cha darDuu najua Mkuu KIPINDI hikoo ukisikia bongo dar es salaam ilikuwa unachanganyikiwa kinoma
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]mi namkumbuka snoopy lee tu na yale ma`afro yake!
Dah mtoto sintaa kipindi kile alisumbua sana na ndio alikuwa top of the town sasa hivi atakuwa sjui yuko wapiii mrembo yulee,Kauzi katamusana haka,mtoto sinta na nature,tulipangaga foleni uwanja Wa jamhuri dosom kununua caset ya album ya nature ugali,complex na Vivian,amina chifupa na wenzie weengi enzi za Mzee kakobe
Daa complex na Vivian hawa walikuwa MTU na mpenzi walikufaga katika ajari wakitokea arushaa wakija dar .......Kauzi katamusana haka,mtoto sinta na nature,tulipangaga foleni uwanja Wa jamhuri dosom kununua caset ya album ya nature ugali,complex na Vivian,amina chifupa na wenzie weengi enzi za Mzee kakobe
DAR YA KIPINDI KILE MKUU ILIKUWA NI DAR KWELI KWELIkipindi tupo kijijini likizo ukipata nafsi ya kuja dar ata wiki tu unaongea kiswahili cha dar