Magari Nusubei
Senior Member
- Dec 3, 2020
- 101
- 61
Umesoma maelezo yote ndugu..?Why nusu bei ?
Sijasoma, nimeangalia tu headingumesoma maelezo yote ndugu..?
[emoji23][emoji23][emoji23], hii Dunia kweli ina watu.Sijasoma, nimenagalia tu heading
Mfano hiyo IST million 6..maana yake nalipia million 3 na inayobaki nalipia ndani ya mwaka ujao?
Yaani cash 6m kwa IST na 5m kwa CarryHata mimi nimeelewa hivi, kama ni kweli niandalie IST 3 mimi nitakulipa CASH mambo ya kumalizia pesa iliyobaki kwa mwaka nawaachia wengine....
IST ni 12m kwahiyo unalipa 6m zen 6 iliyobaki wanakudaiMfano hiyo IST million 6..maana yake nalipia million 3 na inayobaki nalipia ndani ya mwaka ujao?
sasa hapo nusu bei iko wapi?IST ni 12m kwahiyo unalipa 6m zen 6 iliyobaki wanakudai
show room ist inakwendaje? au ukiagizaIST ni 12m kwahiyo unalipa 6m zen 6 iliyobaki wanakudai
Strategy yako itafeli
Jamaa anahisi humu kuna mazwazwaweka heading hivi 'magari ya mkopo'