Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ambaye ulizungusha mraba tuambie nini maana ya nusu bei.Ina maana wote waliocomment hapo juu darasani walizungusha duara ?maana mleta mada ameandika maelezo vizuri sana ...
Yaani Uzalendo Installer unathibitisha mwenyewe ulichokiandika kwenye signature yako jinsi wewe na wenzako mlivyo.sasa hapo nusu bei iko wapi?
Kama umeelewa zaidi sio vibaya ukitusaidia nasiYaani Uzalendo Installer unathibitisha mwenyewe ulichokiandika kwenye signature yako jinsi wewe na wenzako mlivyo.
Nusu ya 7M ni 3M!!??Wewe ambaye ulizungusha mraba tuambie nini maana ya nusu bei.
Mfano gari ya m12 nusu bei ni 6m hivyo mteja analipa nusu ya 7m ambayo ni 3m kisha anachukua mzigo
IST ya laki 5 ipo Bagamoyo kwenye mfumo wa picha 😂😂😂Mimi nikawaza IST naweza ipata kwa shilling laki 5 [emoji23][emoji23] nahisi huwenda siyo hii thread mbona sioni nilichokitegemea
Typing error. Ni 6mNusu ya 7M ni 3M!!??
Toa location nikupe gari nzuri kabisa ya bei yako. Mkuu ule uzi wako wa kutafuta brevis na alteza niliona pia, lakini nilitaka nijue kwani nini umependa brevis alafu unajua brevis siyo latest car licha ya hivyo tu ukitaka kuja kuitoa itakuwa shida.Nnaml. 5 napata gari gani niPm plz
[emoji1][emoji1][emoji1] Niko Moro mkuu ila premio itapendeza WhatsApp +255 718 233 143Toa location nikupe gari nzuri kabisa ya bei yako. Mkuu ule uzi wako wa kutafuta brevis na alteza niliona pia, lakini nilitaka nijue kwani nini umependa brevis alafu unajua brevis siyo latest car licha ya hivyo tu ukitaka kuja kuitoa itakuwa shida.
No one wants brevis. Mkuu nikushauri chukua hata premio C, Noah C iliyonyooka, Corola C, B hata A. Milioni 5 unapata izo gari zikiwa hazisumbui. At least kwa bajeti yako izo ndio gari wanazoweza kuendesha wanaume, achana na baby walker ractis na porte n.k [emoji4][emoji4]
Nicheki na uniambie uko wapi??
Vip kuhusu gari ndogo za mizigo?Toa location nikupe gari nzuri kabisa ya bei yako. Mkuu ule uzi wako wa kutafuta brevis na alteza niliona pia, lakini nilitaka nijue kwani nini umependa brevis alafu unajua brevis siyo latest car licha ya hivyo tu ukitaka kuja kuitoa itakuwa shida.
No one wants brevis. Mkuu nikushauri chukua hata premio C, Noah C iliyonyooka, Corola C, B hata A. Milioni 5 unapata izo gari zikiwa hazisumbui. At least kwa bajeti yako izo ndio gari wanazoweza kuendesha wanaume, achana na baby walker ractis na porte n.k [emoji4][emoji4]
Nicheki na uniambie uko wapi??