Mimi nikawaza IST naweza ipata kwa shilling laki 5 [emoji23][emoji23] nahisi huwenda siyo hii thread mbona sioni nilichokitegemea
 
Ninunue kilikuu m10 never vigari vna engine kama ya boda boda kabsa
 
Picha ya min pajero?! Ungewek na terrios kid af fafanua hyo balance inalipwaje
 
Nnaml. 5 napata gari gani niPm plz
Toa location nikupe gari nzuri kabisa ya bei yako. Mkuu ule uzi wako wa kutafuta brevis na alteza niliona pia, lakini nilitaka nijue kwani nini umependa brevis alafu unajua brevis siyo latest car licha ya hivyo tu ukitaka kuja kuitoa itakuwa shida.
No one wants brevis. Mkuu nikushauri chukua hata premio C, Noah C iliyonyooka, Corola C, B hata A. Milioni 5 unapata izo gari zikiwa hazisumbui. At least kwa bajeti yako izo ndio gari wanazoweza kuendesha wanaume, achana na baby walker ractis na porte n.k 😊😊

Nicheki na uniambie uko wapi??
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Niko Moro mkuu ila premio itapendeza WhatsApp +255 718 233 143
 
Vip kuhusu gari ndogo za mizigo?
 
Model 2003,
Eng 3s,
Automatic,
Cc 1980,
Full Ac,
Price 8M,
0677 818283

 
Toyota ist
Year 2009
Cc1490
Sports rims
New tyres
Full AC
Full documents
Price Tshs. 13.5ml
Contacts 0677 818283



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…