Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thubutuuuuuuuuuuuuuuMimi naiuza coco beach
Kila mtu na mipango yake,idea hazifanani,apo unaweka long term investment,beach unairemba vizuri kwa ,watalii kibao kila siku utawapata.ukifa watafaidi mpaka wanao na wajukuu900m bagamoyo ni nyingi sana kwa wenye strategic investment......300m napata eneo Goba mbezi lenye hekari zaidi 6. 500m na jenga medium apartment 10, tena 50m naweka furniture na finishing nzuri 10m nazifanyia marketing then naziuza kwa 120m per unit
1.2bn ndani ya mwaka.
Kwanini niende uko kwote kisa eti karibu na Bahari nizike 900m,
heshima ni kitu cha bure..ungekaa kimya ungepungukiwa nini?Ndio utajua Watanzania akili ndogo sana 900 mil ni hela ya kutupa kwa Bagamoyo? .. Kwa acre 9? Hv ni kuwa ww mpost mada akili huna kabisa au tatizo lako shule hata kidogo hujaenda? And if you went to school, hujaewa elimu ni nini..
mipango tunatofautiana..wewe umewaza hilo ila kuna mwingine ana wazo lake..900m bagamoyo ni nyingi sana kwa wenye strategic investment......300m napata eneo Goba mbezi lenye hekari zaidi 6. 500m na jenga medium apartment 10, tena 50m naweka furniture na finishing nzuri 10m nazifanyia marketing then naziuza kwa 120m per unit
1.2bn ndani ya mwaka.
Kwanini niende uko kwote kisa eti karibu na Bahari nizike 900m,
Mchina nae alikuwa hajielewi.Toka lini mgeni asiye raia wa Tz akauziwa eneo. Unless kwa ajili ya uwekezaji tu na approval yake lazima uipate TIC.....Kuna mchina haujapita mwezi kapigwa 600m beach plot msasani,kumbe open space,documented kila kitu,walijazwa askari sio wa dunia hii,defender Kama 6 hvi,beach plot labda nyamisati aisee
inaonekana thamani ya fukwe huhijui..ndio maana umekurupukaaa...Ndio utajua Watanzania akili ndogo sana 900 mil ni hela ya kutupa kwa Bagamoyo? .. Kwa acres 9? Hv ni kuwa ww mpost mada akili huna kabisa au tatizo lako shule hata kidogo hujaenda? And if you went to school, hujaewa elimu ni nini..
Tafuta hela yako ndio ufanye yako.900m bagamoyo ni nyingi sana kwa wenye strategic investment......300m napata eneo Goba mbezi lenye hekari zaidi 6. 500m na jenga medium apartment 10, tena 50m naweka furniture na finishing nzuri 10m nazifanyia marketing then naziuza kwa 120m per unit
1.2bn ndani ya mwaka.
Kwanini niende uko kwote kisa eti karibu na Bahari nizike 900m,
Wange sha nunua, kama hiyo biashara ingekua realisticTafuta hela yako ndio ufanye yako.
wenzio wenye pesa zao ndio wanataka kununua huko.....
Lakini wote tunatafuta faidamipango tunatofautiana..wewe umewaza hilo ila kuna mwingine ana wazo lake..
Ilitakiwa iuzwe sh.ngapi?Bei kubwa sana. Haiendani na ubora wa hiyo nyumba.
Ivi unafikiri nyumba kama hii utajenga sh ngap haya mambo jamani da kwanza eneo lilipo acha nyumba kiwanja peke yake sio hela ndogoIlitakiwa iuzwe sh.ngapi?