Special thread: Uliza swali la kijinga ujibiwe kipuuzi.

Special thread: Uliza swali la kijinga ujibiwe kipuuzi.

Nasikia ukila mbegu ya chungwa utaota mti wa mchumgwa kichwani ivi ni kweli???? Naombeni jibu jamani maana nipo njia panda mkononi nnachungwa hapa nisije nikameza mbegu kumbe jau
...Hiyo njia panda pandisha kulia kwa upande wakushoto karibu na ilo bango la PUMBAVU WEWE.
 
Nasikia ukila mbegu ya chungwa utaota mti wa mchumgwa kichwani ivi ni kweli???? Naombeni jibu jamani maana nipo njia panda mkononi nnachungwa hapa nisije nikameza mbegu kumbe jau
Ni kweli, nilikula machungwa pale Muheza kwa sasa nywele zangu ni michungwa
 
Hapa uliza swali lolote la kijinga halafu uone utakavyojibiwa jibu la kipuuzi.

Warning: Hakuna kutukanana!

Mfano: Hivi picha maarufu ya jiji la Dar inayoonyesha askari kashika bunduki, yule ni mtu halisi au ni sanamu?
 
Back
Top Bottom