figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #2,081
Huyu ni Mbwa anayemilikiwa na Azov.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Recorded as missing.Urusi hawataki kumwambia ukweli Putin. So Wanajeshi wakifa wanaacha Uwanja wa Vita.
View attachment 2229475
Kuna mwanajeshi wao alisema, majeruhi wanawamalizia wenyewe ili wasipate kazi ya kubeba Majeruhi. So Urusi wanaua watu wao wenyewe. Wanahofiwa wakitekwa wanaweza kutoa Siri eti.Recorded as missing.
Warusi hawaheshimu uhai.Kwani mwanajeshi wao alisema, majeruhi wanawamalizia wenyewe ili wasipate kazi ya kubeba Majeruhi. So Urusi wanaua watu wao wenyewe. Wanahofiwa wakitekwa wanaweza kutoa Siri eti.
Putin anaua vijana wake with a hopeless war, sheria za kijeshi zinaumiza sana, unaweza kutumwa kwenye mission amboyo uki survive unakuwa chiziLeo nataka niwakere Pro Urusi Kidogo. Napost mizoga ya Urusi ili wajue wanakufa. Mwezi wa Tano Urusi hawatausahau😂😂😂
View attachment 2229462View attachment 2229463View attachment 2229464View attachment 2229465View attachment 2229466View attachment 2229467View attachment 2229468View attachment 2229469View attachment 2229470View attachment 2229471View attachment 2229472
Hii operation putin kapeleka vijana wake kuzimuHizi zawadi nilizowapa Urusi kwa Leo zinatosha. Nasubiri mtu mwingine aje na maneno ya dharau.
Picha hii ni Askari wa Urusi wakiwa wanaota jua. 🤣🤣🤣
View attachment 2229489