figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,141
Bado mikoa mitatu. Donbas Luhansk na mwingine wa Donetsk. Ila sehemu ambapo Urusi wamejiimalisha sana ni Donbas. Na Donetsk.Hivi mkuu kwa sasa resistance kubwa imebaki miji mingapi hawa mbwa wa urusi tuwakimbize kabisa.
REKODI MBOVU YA SU-34Tulikamata kwanza mawasiliano ya redio ya nde ya Urusi aina ya Su-34iliyopigwa kombora katika mkoa wa Kharkiv leo. Rubani wa Urusi alikuwa anahaha.
View attachment 2230020
Mkuu, tusaidia kutuwekea kwa kiswahili kwa ufupi. Hili jukwaa la picha na Video. Just caption. Asante.REKODI MBOVU YA SU-34
On 28 February 2022, at least seven Su-34s were reportedly spotted in the Kharkiv region of Ukraine.[84] On 1 March 2022, one Su-34, tail number Red-31 with registration number RF-81251 was shot down near Kyiv.[85] belonging to the 3rd Combat Regiment of the Russian Air Force.[86] On 5 March another Su-34, tail number Red 24, registration number RF-81879 was shot down by Ukrainian forces near Chernihiv at 11:30. Both pilots ejected. Ukrainian forces captured the pilot; the co-pilot died.[87][88][89] Another one was lost the same day near Vyhovtsi, Khmelnytskyi Oblast. One of the pilots died.[90] The next day a Su-34 was shot down by Ukrainian air defenses, crashed near Kharkiv, one of the pilots was captured.[91] The wreck of the aircraft showed the registration number RF-95070.[92] On 14 March, images of the remains of Russian jet fighter are reported near Chernihiv, later the craft was identified as the remains of a Su-34 Red 35 of registration number RF-95010.[93][94] On 25 April A Russian Su-34 is recorded in video doing a flat spin and crashing into the ground in a Kharkiv, Ukraine. Both pilots were recording bailing out the craft with their parachutes.[95][96] The next day another Su-34 bomber, registration number RF-95858 - Red 43, was shot down by Ukrainian forces near Zaporizhzhia.[97]
credit: Sukhoi Su-34 - Wikipedia
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Naona bado wengine wamesema wapo tusubiri yatayojiriJamaa kapost picha jioni ya leo 18 Mei 2022 kwamba yeye na wenzake bado wapo Azovstal. Haya mahandaki inaonekana ni Makubwa sana. Azov 600+ Walikuwa humo ndani
View attachment 2229771
Urusi ana pride za ajabu bora raia wake wafe ila hatawaachia hao jamaaMkuu Kuna mkanganyiko kuhusu Hawa wanajeshi wa Azov amabao Jana walisalender kwa Rusia lengo likiwa kubadilishana mateka wa kivita kati ya Ukraine na Rusia Mana Kuna taarifa zinadai kwamba hawa Azov wamepelekwa hadi Rusia kisa Warus wamegoma kubadilishana naomba utusaidie je ukweli ni upi.
Leo nimeshangaa kusikia kulikua na wanajeshi 2000. Kati ya hao majeruhi ni 51 tu. Makomando si watu. Ngoja tuone makomando wa Marekani watawasaidia nini. Wamekuja na meliDaah! Hawa jamaa niwabishi bado wapo mariupol wanapiganaView attachment 2230904
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hiki ndo kimenishangazaDaah! Hawa jamaa niwabishi bado wapo mariupol wanapiganaView attachment 2230904
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mimi kilichonishangaza ni ile sehemu kuwa na Wanajeshi 2000. Ndo Maana Urusi walikuwa wanaogopa kuingia kwenye handaki. Na mabomu hayawafikii. Mabomu yamepigwa siku 82 wametoka majeruhi 52 tu?Hiki ndo kimenishangaza
Hawa watu wana ujuzi na uvumilivu wa hali ya juu wangekuwa ni wao Warusi sasa hivi ingekuwa habari nyingine.Mimi kilichonishangaza ni ile sehemu kuwa na Wanajeshi 2000. Ndo Maana Urusi walikuwa wanaogopa kuingia kwenye handaki. Na mabomu hayawafikii. Mabomu yamepigwa siku 82 wametoka majeruhi 52 tu?
Shida iliyotokea na kuwaudhi Ukraine ni kwamba kanisa la Orthodox nchini Urusi na viongozi wake wameside na Putin.Mnara wa ukumbusho wa Alexander Nevsky umebomolewa huko Kharkiv. Anahusina na mambo ya dini ya Orthodox. Alikuwa na Asili ya Urusu kwa ulinzi wa Kanisa la Urusi na ardhi ya Urusi. Mambo ya wakina Daudi. Tuachane na hizi mada za dini. Ila Ndo Ukraine hawamtambui tena. Sihajua kama na kanisa lake watalibomoa
View attachment 2230895
Mrusi anashangaa kwa kuwa alijiona yy ndiye papa pekee avumaye baharini na kusahau kwamba kumbe na wengine wapo pia.Hawa watu wana ujuzi na uvumilivu wa hali ya juu wangekuwa ni wao Warusi sasa hivi ingekuwa habari nyingine.
Panic yao isingekuw ya kitoto na wangepigwa vibaya mno. Hata wao wanashangaa ilikuwaje.
Ngoa tuone mkuuLeo nimeshangaa kusikia kulikua na wanajeshi 2000. Kati ya hao majeruhi ni 51 tu. Makomando si watu. Ngoja tuone makomando wa Marekani watawasaidia nini. Wamekuja na meli