Vampiree
JF-Expert Member
- Jun 29, 2020
- 530
- 1,342
Ata mimi nimeshanga hawa jamaa ikitokea mariupol ikakomborewa hawa jamaa inabidi wapewe heshima yaoHiki ndo kimenishangaza
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata mimi nimeshanga hawa jamaa ikitokea mariupol ikakomborewa hawa jamaa inabidi wapewe heshima yaoHiki ndo kimenishangaza
MhuuuHawa watu wana ujuzi na uvumilivu wa hali ya juu wangekuwa ni wao Warusi sasa hivi ingekuwa habari nyingine.
Panic yao isingekuw ya kitoto na wangepigwa vibaya mno. Hata wao wanashangaa ilikuwaje.
pole mzee.,kubali yaishe.Hesabu zimekubali. Maeneo yote yaliyokaliwa kibabe na Urusi yanarudi. Asante NATO
View attachment 2231081
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hesabu zimekubali. Maeneo yote yaliyokaliwa kibabe na Urusi yanarudi. Asante NATO
View attachment 2231081