Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Drone ikifanya yake. Hii ndege isiyo na rubani ya Ukraine ikihatibu vifaa vya Urusi. Tarehe 28 Februari 2022
Your browser is not able to display this video.
 
Drone ya Ukraine ikifanya yake
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi ilivyo shambuliwa
Your browser is not able to display this video.
 
Nimeangalia picha zote nilichoona ni propaganda tu , ki uhalisia mpka sasa Urusi ndio yuko upper hand lakini hapa naona kana kwamba wao ndio wamepoteza ilihali Ukrain washapoteza maeneo kibao , sasa which is which?
 
Magari ya Urusi yalikuwa Njani kuelekea Kyiv (Borodyanka).
Your browser is not able to display this video.
 
Ilikuwa tarehe 03 Machi 2022 maeneo ya Nikolaev. Urusi ilipoteza sana vifaa
Your browser is not able to display this video.
 
Tarehe 04 March
Your browser is not able to display this video.
 
Tarehe 04 Machi 2022, Urusi walitelekeza Vifaa baada ya kupigwa Ambushi
Your browser is not able to display this video.
 
Wananchi Wazalendo wa Kherson, walizuia Msafara wa jeshi wa Urusi.
Your browser is not able to display this video.
 
Mkoani Poltava askari wa Ukraine wakitumia RPG dhidi ya Urusi. Frontline
Your browser is not able to display this video.
 
Chopa ya Urusi ilivyotunguliwa tarehe 05 Machi 2022
Your browser is not able to display this video.
 
Wanajeshi wa Urusi wakiwa wametekwa. Mmoja wao ni Rubani. Tarehe 05 Machi 2022
Your browser is not able to display this video.
 
Before and after ya Convoy ya Urusi. Tarehe 06 Machi 2022
 
Askari wa Ukraine waliopo Frontline viunga vya Kyiv
Your browser is not able to display this video.
 
Tarehe 07 Machi 2022. Majeshi ya Ukraine yalifanya ambushi kwa magari ya Urusi yanaho sambaza mafuta Uwanja wa Vita.
Your browser is not able to display this video.
 
Tarehe 10 Machi maeneo ya Zaporizhzhia, Walipoteza 2S19 Msta-S 152mm SPG (self-propelled howitzer) nyingi sana
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…