figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,321
Wapo wengi wanejisalimisha. Nitaangaloa takwimu, nadhani kuna PoW zaidi ya 5,000.Oh, very simple bro. Wakiwaona au wakiweza, wawaambie wa-Ukraine kuwa "tuko huku jamani njooni mtuteke - mtuchukue mateka. Sisi hatutaki kupigana tena na nyie Tumechoka". 😂
Washaweka sheria ya kuanza chukua wenye zaidi ya 40 kupiganaKuna Wanajeshi wa Urusi tumeteka. Swali la kuniuliza, hawa watu Putin anawatoa wapi? Mbona wamechoka sana? Hawa Wote wamefanywa kuwa PoW
View attachment 2235070
UkraineWalipelekewa moto Warusi
View attachment 2235751
God bless AmericaMzigo mwingine umefika kutoka Marekani
View attachment 2236162
Hivi Tz hatuna vifaa kama hivi?Haya ndo magari ya Kijeshi ya Canada. Yanaitwa Roshel Senator. Sasa yapo Ukraine.
View attachment 2236171View attachment 2236172View attachment 2236173View attachment 2236174
Siyo hivyo tu na raia wa kigeni ambao wako Urusi wanatakiwa kwenda jeshini ili wakapigane. Sasa hapa sijui watalazimishwa au itakuwa kwa hiari?Washaweka sheria ya kuanza chukua wenye zaidi ya 40 kupigana
Wakuu, hii vita sio ya Urusi bali ya Putin na Viongozi wa jeshi. Ndo maana vita haina bajeti wala Federation Council haijapitisha. Putin ana nguvu sana Urusi. Anaamua atakacho bila hatabkufuata katiba.Siyo hivyo tu na raia wa kigeni ambao wako Urusi wanatakiwa kwenda jeshini ili wakapigane. Sasa hapa sijui watalazimishwa au itakuwa kwa hiari?
Ina mana jeshi lake limepungukiwa na wapiganaji au vipi, wastaafu wanaweza kuwa ni experienced personnels, je hawa raia wa kigeni,kama wakilazimishwa watakuwa na uzalendo kweli kupigana vita isiyowahusu?
Bado ninawaza hapa [emoji848][emoji848]
Long game at its bestWaukirieni 230 wanafundishwa kutunia hizi howitzer za Uingereza
View attachment 2236502View attachment 2236503
Hii ni mbaya sana itamcost sana.Lakini kabla hajavamia Ukraine Wabunge walipitisha azimio la operation na kumuunga mkono, hii ilimaanisha nini?Wakuu, hii vita sio ya Urusi bali ya Putin na Viongozi wa jeshi. Ndo maana vita haina bajeti wala Federation Council haijapitisha. Putin ana nguvu sana Urusi. Anaamua atakacho bila hatabkufuata katiba.
Kule utaenda kwa lazima utake usitake. Na unawekwa frontlineSiyo hivyo tu na raia wa kigeni ambao wako Urusi wanatakiwa kwenda jeshini ili wakapigane. Sasa hapa sijui watalazimishwa au itakuwa kwa hiari?
Ina mana jeshi lake limepungukiwa na wapiganaji au vipi, wastaafu wanaweza kuwa ni experienced personnels, je hawa raia wa kigeni,kama wakilazimishwa watakuwa na uzalendo kweli kupigana vita isiyowahusu?
Bado ninawaza hapa [emoji848][emoji848]
Usikute haya ni mahsusi kwa ajili ya ile meli ya Urusi ya nuclear power ambayo inazalisha umeme wa megawat 70 na unaweza kuhudumia wakazi zaidi ya 100,000 kwa wakati mmoja.Denmark wameleta mzigo wa kuzamisha Meli
View attachment 2237038
Mwili wako unauweka rehani kwa ajili ya vitu vusivyo kuhusu. Ndio maana sisi watz hatushadadii kuzurula nchi za watu saa nyingine ni mateso tu.Kule utaenda kwa lazima utake usitake. Na unawekwa frontline
Huyu ndiye yule General aliyekufa kwa ndege?
Mzee hapa hauwezi kupata jibu hata kama ningekuwa ninajua siwezi kukwambia, hivi vitu huwa ni siri ya kambi mkuu.Hivi Tz hatuna vifaa kama hivi?
Hawa askar vipi mbona wanaonekana mdebwedo