figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,381
[emoji23][emoji23][emoji23]huyu mwamba alikua miyeyusho. Upo frontline na smartphone 3 mixer Kitochi...Mnyang'anyi mwingine anayeitwa Tupitsyn alikwenda kuzimu jana.
Licha ya idadi ya simu, askari huyo hawasiliani tena na michepuko[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2238004View attachment 2238005
Inasikitisha sana kwa kweli.Ila warusi wanakufa vibaya[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2238169
Duh! Yote hiyo iondoe uhai wa mwanadamuNilikuwa naitafuta hii silaha niipost. Ni Silaha aina ya MG-3s, inatema risasi 1000 kwa Dakika
View attachment 2238179
Hawa jamaa wakishasema hureeee!! Hawajali tena uhai wao wanakuja hata kama kikosi kizima kitaisha huoni makamanda wao wakisikitika, sijui mpaka sasa hivi ndio upiganaji wao au wameshabadilika !!Yaani Wakuu, Msisikie sijui Urusi wanasonga mbele, ni kwamba Wanawatoa Kafara wanajeshi wao na wanapoteza Vifaa vingi. Yani watu tunaua na kuharibu hadi tunachoka. Wanazidi kuja tu. Hii Vita ikiisha mtasikia Warusi walouawa. Mfano leo wamekufa Warusi zaidi ya 200. Hadi naona huruma.
View attachment 2238467View attachment 2238469View attachment 2238470View attachment 2238471
Hapa kuna mchezo siyo bure,ndani ya Urusi wana uniform za jeshi kabisa, kama secret service inajua kwanini isiwajue na kuwaneutralize? Kuna agenda ya siri inaendelea.LEGION wakiwa Urusi. Leo naona hawajalipua Viwanda
View attachment 2238519
Hizo simu 3 zote kaiba ukute kitochi ndio chake... Jamaa wameiba vtu vihi vya kawaida saana... washing machine, simu, laptop, Jewels Hadi nguo.[emoji23][emoji23][emoji23]huyu mwamba alikua miyeyusho. Upo frontline na smartphone 3 mixer Kitochi...
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app