figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,401
Na wanafadhiriwa. Sema wapo Belgorod, wanapiga kazi Usiku mchana wanarudi Ukraine. Tatizo wanaijua Urusi na washatengeneza mtandao nchi mzima. Wanaharibu Viwanda vya UrusiHapa kuna mchezo siyo bure,ndani ya Urusi wana uniform za jeshi kabisa, kama secret service inajua kwanini isiwajue na kuwaneutralize? Kuna agenda ya siri inaendelea.
Akili zinahamaga. Hilo jani linawawezesha kwenda kichwa-kichwa wakimaliza kusema Hureee. 🤣Tumewadaka Warusi na Mimea kherkyiv. Tulipopima, tukakuta ni bangi🤣🤣🤣
View attachment 2238646
Inakuwaje gari limeungua lote lkn alama ya Z zinabaki kuwanga ang'avu bado??Hizi Silaha zinachanachana gari kama karatasi
View attachment 2238675
Kwanini usiulize indicators kwanini hazijaungua? Hata hivyo hii imechanika haijaungua. Ninakupostia gari yenu ya Urusi iloungua. Urusi hamuamini mnachokionaInakuwaje gari limeungua lote lkn alama ya Z zinabaki kuwanga ang'avu bado??
Saaafii scania vitani!Denmark wameleta mzigo wa kuzamisha Meli
View attachment 2237038
🤣🤣🤣🤣Kule utaenda kwa lazima utake usitake. Na unawekwa frontline
Ile iliondoka Jumamosi. Kuna Mzigo Marekani walileta, meli za Urusi nyingi zimesepa pale vUsikute haya ni mahsusi kwa ajili ya ile meli ya Urusi ya nuclear power ambayo inazalisha umeme wa megawat 70 na unaweza kuhudumia wakazi zaidi ya 100,000 kwa wakati mmoja.
Ikizamishwa watakuwa wamepata hasara kubwa sana.