Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Pentagon wamesema, sasa Marekani ipo tayari kuipa Ukraine kila aina ya Silaha wanayoitaka ili Waipige Urusi
20220614_152036.jpg
 
Hii ni Anti-Aircraft ya Ukraine aina ya 9А83-1 TELAR inatumia S-300V1 long-range air defence system, haya ni Maeneo ya Lysychansk. Tunasonga Mbele
20220614_153859.jpg
 
Kifaru cha Urusi aina ya BMP-3 kimesambararishwa
 
Stugna-P ya Ukraine ikiwa kazini
 
Hili ndo gari la UK wanaloita British Wolfhound armored vehicles
 
uzi wa kujifarijia i;a kila siku tunaona Russia anazidi kuchukua majimbo, sa sijui wewe unaokotezea wapi hizi taarifa zako ambazo hata CNN, REUTERS, DW hawana?
 
Huyu Mbwa kamganda Mwanajeshi wa Ukraine hadi kwenye handaki. Sasa hivi akila anambakizia, akinywa maji anambakizia. Washakuwa marafiki
 
Makamu wa rais wa zamani wa Gazprombank, Igor Volobuev, alijiunga na jeshi la Uhuru wa Urusi LEGION
 
Zelensky amesema Mji wa Mariupol utakombolewa tena kwa mara ya tatu. Haitakuwa mara ya kwanza Urusi wanafurumushwa kwenye huu Mji. Tunajipanga
View attachment 2260669
Mkuu tunashukuru Sana kwa kuendelea kutuletea updates za vita ya Ukuraine ubarikiwe Sana.Vipi mapambano yanayoendelea Donabos unayaonaje Mana ndo yatakayoamua muelekeo wa vita
 
Back
Top Bottom