Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hawa Wafuasi wa Urusi wanajifanya kunitukana. Naweza weka picha Wanajeshi wao wakifanyiziwa hadi kukojolewa. Huwa naweka picha za kistaarabu ili nisiwamuze moyo. Wafuasi wa Urusi wanaamini Askari wa Urusi hawafi.
Your browser is not able to display this video.
 
HII VITA NI YA KI UWENDA WAZIMU , TOP DECISION HAZIKU CHECK FEASIBILITY IMPACT TO THE NATION , YAANI DAH KWELI MIAKA 60 NDO MIAKA KUSTAAFU ZAIDI YA HAPO MADHARA YAKITOKEA HAKUNA KULAUMIANA
 
Unaambiwa ukrain wamepigwa na mrusi huko mpaka wakaambiwa kimbieni muwaachie mji mtakufa......!
Wee umerogwa au unatafuta bahasha wa kukufire , unatafuta nini umu ndani page za machoko wenzio je huzioni ama unaleta shobo apa
 
Hapa mkuu nifafanulie vizuri zimechange kivipi na ilikuwaje hayo majaa yakashambuliana yenyewe?
Ingawa nafurahi sana yakishambuliana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…