figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #3,521
Mkuu Ukraine sio Mnyonge.. Submarine zishaondoka tangu Jumamos, ndo maana zaweza lipuliwa muda wowote. Labda mimi ndo sijui, naomba Location ambapo Meli ya Urusi inaonekana karibu na snake Island. Hata HIMARS zimeshahamishwa sababu hakuna tishio tena. Pale Odessa kuna mzigo unalinda bahari. Ndo maana tangu Vita ianze, Odessa haijashambuliwa Zaidi ya mara 5. Wanaishia kuharibu makazi ya watu sababu mtambo unalindwa sana.Ila kwa uhalisia pale Snake Island hakuna atayeweka makazi ya kudumu, pale pa moto sana. Na pia Urusi ana faida sababu ya submarines zake zaweza tumika angamiza lile eneo
Ila vita iishe bongo mfumuko wa bei urudi kawaida
Mkuu hii Mifumo ya ulinzi wa anga ni muhimu sana kwa sasa ambapo Urusi kazi yake ni kushambulia kutokea mbali. Wakimdhibiti itakuwa kakosa kitu kikubwa sana sijui kwanini hata wanachelewa hivo.NASAMS ni mfumo wa Ulinzi wa anga. Yaani inazuia mashambulizi ya anga kama Makombora, Ndege za Kivita, drone na kila shambulizi la anga. Na hizi HIMARS, zenyewe ni mfumo wa Makombora rockets. Yaani inarusha Makombora. Mfano kuna Vikosi Bagamoyo, HIMARS inalipua ikiwa Dar. Tena bila kukosea. HIMARS inanyong'osha maadui kwa kuharibu mifumo yao ndo Askari wa miguu wanaingia na Vifaru. Penye NASAMS ndege haikatizi wala Missile wala drone. Inadondoshwa.
Tupe upadates achana na watu wasio na akili.Wakuu, kuna hawa watu wamekuja kututoa kwenye reli. Sitachoka kupost kutuhusu frontline, na wao wapost kwenye thread inayowahusu kuhusu frontline yao. Simple. Uzuri tangu naanza kupost sijawahi shindanisha majeshi bali napost kuhusu mafanikio yetu. Tatizo lipo wapi?
Kwamba mfumuko wa bei umeanza baada ya vita? Hakika nyinyi warusi wa kongwa hamfuatilii mambo.Nashangaa maana Ukraine anachezea kichapo heavy [emoji1]
Ila vita iishe bongo mfumuko wa bei urudi kawaida
Ova
Aisee ni hatali Sana nazani zitakua zimetolewa na USA.kwa hiyo range zitatumika kupiga ndani ya Urusi.RM-70 Vampire ipo kazini. Inaweza kupiga Umbali wa 1,000 km na inaweza toa Makombora 40 kwa Sekunde 20.
View attachment 2281983
Sorry Mkuu, hapo sijaweka sawa.. Range ya gari ndo km 1,000, na inakimbia 90kmh. Firing range ni 20km hadi 40km. Na ili ifanye kazi inakuwa na watu 6. Ni msaada kutoka Czech RepublicAisee ni hatali Sana nazani zitakua zimetolewa na USA.kwa hiyo range zitatumika kupiga ndani ya Urusi.
Tengenezeni jukwaa lenu la kuweka picha za Ukraine akipigwaEndeleeni kujifariji
Si hilo tu hata bombers sijaona hata 1 ikikatiza anga la Ukraine.Mkuu Ukraine sio Mnyonge.. Submarine zishaondoka tangu Jumamos, ndo maana zaweza lipuliwa muda wowote. Labda mimi ndo sijui, naomba Location ambapo Meli ya Urusi inaonekana karibu na snake Island. Hata HIMARS zimeshahamishwa sababu hakuna tishio tena. Pale Odessa kuna mzigo unalinda bahari. Ndo maana tangu Vita ianze, Odessa haijashambuliwa Zaidi ya mara 5. Wanaishia kuharibu makazi ya watu sababu mtambo unalindwa sana.
Ndicho kinatafuta, akitoa nyuklia na wenzake wanatoa za kisasa zaidi. Yeye anazo za kizamani. Marekani ameanza kutengeneza nuklia kitambo sana... Tangu enzi za Hiroshima.. Utamuambia nini?Si hilo tu hata bombers sijaona hata 1 ikikatiza anga la Ukraine.
Urusi ukimtoa Nukes hana uwezo wa kupigana hata na JW (tukishikwa mkono)
Hichi ndio kitu nilichokuwa najiuliza sana, Umenipa majibu.HIMARS zinatumia satellite kujua zipige wapi, sio macho ya binadamu. Wewe unaset google map vizuri then makombora yanatua. So yenyewe haijalishi mchana au Usiku.